Shinyanga: Vijana 2 chini ya miaka 18 mbaroni kwa kumbaka mtoto wa miaka 6 kwa zamu

Shinyanga: Vijana 2 chini ya miaka 18 mbaroni kwa kumbaka mtoto wa miaka 6 kwa zamu

Fikiria nje ya box wakati mwingine. Siyo lazima kila kitu kiandikwe. Ni tamaa ya ngono kwa upande wa wabakaji, siyo kwa upande wa aliyebakwa.
Chanzo cha mtoto kubakwa ni tamaa za ngono? Seriously?
Mtoto wa miaka sita anajua ngono?Anapata hisia?
Wamemuonea na kumdhalilisha kusema amebakwa kwa tamaa ya ngono it's not right and it's not fair.

A six year old is naive and innocent. Wakisema tamaa ya kupewa hela na kununuliwa vitu sawa lakini sio ya ngono.
 
Kama walikiwa nyuma ya nyumba na pia huo binti alikuwa anaumia kweli inawezekana asipige kelele? Mtoto wa miaka sita sidhani kama anauthubutu wa kuvumilia kunyanduliwa
 
Gotcha, japo style ya uandishi inapelekea kuonyesha mtoto ndo alikua na tamaa .
Wameandika chanzo cha "kubakwa" ni tamaa ya ngono
Wangeandika chanzo cha "kubaka" ni tamaa ya ngono
Nadhani ni typing error
 
Chanzo cha mtoto kubakwa ni tamaa za ngono? Seriously?
Mtoto wa miaka sita anajua ngono?Anapata hisia?
Wamemuonea na kumdhalilisha kusema amebakwa kwa tamaa ya ngono it's not right and it's not fair.

A six year old is naive and innocent. Wakisema tamaa ya kupewa hela na kununuliwa vitu sawa lakini sio ya ngono.
Tamaa ya ngono imeongelewa ni upande wa washtakiwa ndiyo walishawishi, walikuwa na tamaa......
 
Aiseee....
18+30=48 au nimeikosea.
Napendekeza hakimu afanye hivi. 18+50=68
Adhabu ikitolewa kipindi hiki hao wabakaji wanaweza kuiepuka, kisa wapo chini ya miaka 18. Hii kesi itavutwa hadi hapo hao vijogoo watakapovuka umri wa miaka 18 na hivyo kuswekwa ndani kwa miaka 30.
 
Chanzo cha mtoto kubakwa ni tamaa za ngono? Seriously?
Mtoto wa miaka sita anajua ngono?Anapata hisia?
Wamemuonea na kumdhalilisha kusema amebakwa kwa tamaa ya ngono it's not right and it's not fair.

A six year old is naive and innocent. Wakisema tamaa ya kupewa hela na kununuliwa vitu sawa lakini sio ya ngono.
Inaitwa "foolish age". Kipindi cha balehe kwa wavulana. Linganisha na kale kajogoo kanakoanza kujifunza kuwika. It is the same. Busara inatakiwa kutumika kwa pande tatu.
 
Nasikita kusema kwa sababu ni kosa la kwanza na wako chini ya 18 wata ishia kuchapwa viboko tu
 
watoto wa miaka 14 ndio wametumia mbele na nyuma ???

hapo ni ile michezo ya k'toto ambayo hata sisi tulishaicheza ila sio kweli kwamba mtoto wa miaka 14 ana uwezo wa kupiga mashine ile k'sawa sawa ndio maana mi naona ni kesi ya k'puuzi hii
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] acha masiara na kesi za watu ww
 
Hivi na ile michezo ya utotoni (Baba& Mama) mzazi wa mtoto wa kike akiwafuma akachachamaa si ni ubakaji ule hata kama watoto wote umri ni 4yrs?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] acha masiara na kesi za watu ww

jeshi la polisi linakomalia kesi za k'puuzi kama hz ili kutafuta kiki wakati kuna mambo mengi ya kufanya nchi hii
 
Hivi na ile michezo ya utotoni (Baba& Mama) mzazi wa mtoto wa kike akiwafuma akachachamaa si ni ubakaji ule hata kama watoto wote umri ni 4yrs?

hata hao watoto ndio hivo hivo ila jeshi la polisi limekomaa na upuuzi ila ukiwauliza anayeteka watu hawajui chochote...
 
Back
Top Bottom