#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona

#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona

Sasa kama wao wamechanjwa.

Maana yake hawawezi kuambukizwa Corona.


So watuache tusichanjwe. Maana wao wana kinga, hatuwezi kuwaambukiza.
Mimi nilichoelewa kutoka kwako ni woga wako kuhusu chanjo hasa baada ya kusikia Kauli ya Mkuu juzi aliposema Machanjo mengine yanaleta Macancer pamoja na kuzuia kuzaa.😅😅

Nadhani kama sababu ni hizo, hao wazungu wakiamua kukupata hawashindwi, mbona vitu vingi tuna import kutoka kwao, unadhani watashindwa kweli??

Chanjo ya TB siku hizi kila mtoto anachanjwa, unadhani kwanini isingetosha kuwachanja watoto DSM peke yao badala yake ni kila mtoto Tanzania??

Jibu ni kuwa TB inaenezwa kwa hewa, the same na Hiyo COVID19. Kwahiyo ni lazima kila mtu achanjwe, kuzuia maambukizi ambayo kwa kiasi kikubwa yanaathiri system ya Upumuaji.

NB: Sio mtaalamu wa afya, hivyo niko tayari kusahihishwa.
 
Mimi nilichoelewa kutoka kwako ni woga wako kuhusu chanjo hasa baada ya kusikia Kauli ya Mkuu juzi aliposema Machanjo mengine yanaleta Macancer pamoja na kuzuia kuzaa....
Mimi shida yangu ni kwamba.

Wao ambao wamechanjwa maana yake hawawezi kuambukizwa. Kwa mimi naona hukuna shida hata sisi tusipopata kinga, hata tukienda kwao hatutawaambukiza maana wao wako na kinga.

So kwa nini watulazimishe.!?
 
Mimi nilichoelewa kutoka kwako ni woga wako kuhusu chanjo hasa baada ya kusikia Kauli ya Mkuu juzi aliposema Machanjo mengine yanaleta Macancer pamoja na kuzuia kuzaa...
Watu mnaoaminigi hivi huwa siwaelewi, Kwann unaamini kwamba wazungu wanaweza kutudhuru wakiamua,yaani tunaishi kwa wao kupenda tuishi?Hivi unadhani hii nchi ni kama zizi haina usalama wake, haina uangalizi, tupo tupo tu?
 
Wacha tuone nani ataibuka mshindi au nani ataumia.
Ni mtego kwa Jiwe akigoma atafutwa uanachama wa WHO; hana namna ni lazima akubali tu.

Consequences za kufutwa uanacahama na WHO ni mbaya mbaya mno.
 
Hapa cha kufanya ni kuwatumia wataalamu wetu wa tiba za asili kilakitu kitakaa sawa. Halafu mie mwenzenu hata siiwazi kivileee.



MAGUFULI4LIFE.
 
Sio tena kutunusuru maiti zetu zisizagae barabaran ifikapo May 2020… hakuna kazi ngumu kama kuulinda Uongo
Hata hiyo pia inaweza kuwa sababu. They preserving humanity. Ndio maana watu wako maabara hawalali. Nyie mnaokataa chanjo za wazungu sijui mnafanyaje ili kupata ya kwenu msiokua na mashaka nayo.
 
Kwa hivyo tutachanjwa kwa lazima whether we like it or not!

Mimi nasimama na Jiwe hachanjwi mtu hapa hahaa!
Tatizo ni kwamba sisi tusipo chanjwa wakati nchi nyingine zimechanjwa basi tutabakia kwenye Isolation, hatutaruhusiwa kwenda popote kwakua hatutakua tumechqnjwa.

Kwanini hasa tunaogopa chanjo za Corona lakini chanjo zingine zote zinazo toka kwa mabeberu na madawa tunayakubali.

Fikiria mama baada ya kujifungua ,vichanga vinapata chanjo ngapi? ni zaidi ya chanjo 3 tofauti na zote zimetengenezwa na mabeberu.

Kama hawatutaki wasinhesubiri kwenye chanjo ya Corona.Karibia kila kitu tunacho tumia kinatoka kwao, tutakataa vingapi!?
 
Uwe na neno la akiba.Dharau mbaya utafuatiliwa kokote ulipo na kuchukuliwa hatua.Kamwe usikejeli na kubeza mamlaka ya nchi.
Ni vyema na haki kukejeli mamlaka ya nchi ambayo haina kibali cha wananchi a.k.a vibaka wa wizi wa kura.
 
Watu wanadungwa chanjo halafu wanakufa kwa Corona, usijifanye hujui hilo
Hata hiyo pia inaweza kuwa sababu. They preserving humanity. Ndio maana watu wako maabara hawalali. Nyie mnaokataa chanjo za wazungu sijui mnafanyaje ili kupata ya kwenu msiokua na mashaka nayo.
 
Wewe tulia waje wakupime kwa kukuinamisha wachokonoe hiyo tigo yako ndio utajua hujui.
haya sasa babako ameshakubali covid19 ipo unasemaje we mbugila.. unakubali unakataa?
 
Mtu kama wewe ungekuwepo kizazi cha Nyerere naona ungeenda kutoa hata niniliu kwa wazungu ili uwe upande wao.
wewe ni mwehu K yako nyerere hakuruhusi siasa za vyama vingi ilikua kwa amri ya wananchi si baada ya kubanwa na hao hao wazungu
 
wewe ni mwehu K yako nyerere hakuruhusi siasa za vyama vingi ilikua kwa amri ya wananchi si baada ya kubanwa na hao hao wazungu
Una hamu ee? Subiri nije nikupime corona kwa njia ya mchina
 
Hatuhitsji chanjo Kwasababu hakuna corona. Corona ni kiini macho
 
Hakika Mungu anatulinda Tanzania,,,... but are safe?....sawa hatuweki lock douni sijui lock apuu.....tukubali hata hiyo chanjo tuu....mabeberu kama kutuua na madawa, hakika wangeshatumaliza long time...chanjo haijaanza leo,,,hakuna hata mmoja wetu sisi WATANZANIA ambaye hajapata chanjo za maradhi mbalimbali, zote hizo si zimetoka ulaya...hofu yetu nini? hatutaki kusukumwa ndio, but tuangalie UTU wa MTU....kila mtu ajikinge na awapendao...ila serikali ina ngunvu ya kutuzidishia kinga......hata hili litapita....limeondoka na wengi na wako on transit....
Naipenda TANZANIA....
 
Siku moja baada ya Rais wa Tanzania, John Magufuli kutaka wizara ya afya kutokukimbilia chanjo ya Corona, Shirika la Afya Duniani WHO imeitaka nchi hiyo kujiandaa na chanjo ya Corona kama mataifa mengine duniani.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwa njia ya mtandao, mkuu wa WHO kanda ya Afrika Dkt. Matshdiso Moeti amesema kuwa Tanzania inatakiwa kutumia mwanya wa upatikanaji wa chanjo kwa faida ya wananchi na kanda ya Afrika Mashariki kwa ujumla.

''Tumeanza kuwasiliana upya na ngazi za juu za uongozi, na tunatoa mchango wetu kama ilivyokua hapo mwanzo, na tunataka kushirikiana na Tanzania, kwa niaba ya watu wa Tanzania, nchi jirani na dunia kwa ujumla. Sehemu ya mawasiliano yetu na Tanzania ni kukumbusha serikali kuwa, hii ni sehemu ya makubaliano ya kanuni za afya za kimataifa ambapo nchi wanachama wamekubali kwa pamoja kuzuia kusambaa kwa magonjwa'' anasema Dkt. Moeti.

WHO inasema kuwa imekua ikitoa mchango na kuwasiliana na serikali ya Tanzania kuanzia mwanzo wa janga hili la Corona. Shirika hilo pia limesisita Tanzania kutoa takwimu za mwenendo wa Corona nchini Tanzania ili iwe rahisi katika kupambana na kuzuia maambukizi mapya.

Naye katibu mkuu wa Shirika la Afya Duniani, Tedros Ghebreyesus anasema anaunga mkono alichosema @MoetiTshidi, anatoa rai hatua dhabiti za kiafya kukabiliana dhidi ya corona zinapaswa kufuatwa na kujiandaa kupokea chanjo.

Takwimu ni suala la muhimu pia kwa Tanzania kuzitoa, tena baada ya kesi za miongoni mwa wasafiri na wageni katika miezi ya hivi karibuni.

Chanzo: BBC SWAHILI
Hivi nyie mna dunia yenu mnakoishi? Ka chukue chanjo haraka kabla hatuja wawekea vikwazo,au tuwatenge na nchi yenu tuizungushie waya mtu asitoke wala kuingia.huh!!
 
Back
Top Bottom