digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu It is aNafikiri Sisi hatuko transparent ndio maana wametuchunia
Naona nchi masikini zinasaidiwa baada ya kupata mtikisiko wa uchumi...ni wakati sasa wa nchi tajiri kama Tanzania kuanza kusaidia majirani masikini kama Kenya, Uganda nk..
Tusiwe kama sungura, sitaki hizi mbichi.Uzi mzima ..90% hawana uelewa...10% wana akili...
Siku zote ngoz nyeus huwa inaamin wao ni wa kusaidiwa tuu..
Hi nchi yetu imekua ikiendeshwa kwa mikopo why not now? Nakumbuka zitto alipopigilia msumali tusipate mkopo benki ya dunia Bunge liling'aka.
Anyway Kuna maswali ya kujiuliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli mzee mseven pamoja na mapungufu yake umeeonesha uelewa wa juu kupambana corona. Huyu ni mwanajeshi amemfunikaa mtu anayejiita mkemia maana mambo anayoyafanya yanashangaza kwa elimu yake.
Kila mtu anaimba wimbo wake mbaya zaid mpaka Bunge ambalo ndio kimbilio la wananchi namgeuzageuza speaker atakavyo na lenyew kwa sbb ya madaraka limekua ka zombie halina msaada wowote zaid ya kutangaza posho za wapinzani hadharani.
Ndio maana hawana ha.u na jembe letu LA kazi Dr. Magufuli!! Walikuwa wanatuchezea kete ya lockdown kumbe mawazo yao ili uchumi ushuke waingie kingi kwa kutupa mkopo wa Dharula! Na ujue mkopo wa Dharula riba yake ni kubwa! Wawapata hao hao wasiojua kulicheza draft na mabeberu!Itakuwa IMF ndo wametengeneza corona ili tujifungue watukopeshe pesa, ni wajinga sana!π
Siyo mikopo huyo ni msaada hazirudishwi mkopo una riba na lazima uzirudishe sisi hatujaonesha jitihada zote zote zilizonesha kuwa tumepatwa na janga
Mikopo yenye sababu!! Siyo hii ya kubambikizwa lockdown ili uchumi ufe kisha "usaidiwe" mkopo na urejeshe kwa riba!! We are not that much dull!!
Toka lini IMF wakatoa grants?
Siku zote world bank and IMF wanatoa Loan, maana ni taasisi za pesa zenye kufanya kazi zake kibenki zikipata faida kupitia riba. Tofauti ya hizi taasisi (IMF na World bank) na benki zingine za kibiashara iko kwenye riba na masharti. IMF na World bank wanakukopesha kwa riba nafuu na utalipa taratibu kwa muda mrefu lakini masharti yao ni mazito.
Wanaweza kukusamehe sehemu fulani ya deni wakiona huwezi kulilipa kwa wakati ili waweze kukukopesha tena.
Magufuli anajua kabisa kwa sasa hawezi kukopesheka kirahisi maana ana madeni makubwa, mwenendo wa kulipa unasusua na masharti ya kuweza kukopesheka hayawezi kuyatimiza ipasavyo.
Naona IMF wanatoa vitita kwa nchi za Kenya na Uganda, Mahususi kwa ajili ya janga la Corona.
Mbona sisi jamuhuri ya muungano wa Tanzania hatupewi?
View attachment 1442411
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya wana Hali mbaya sana,wakigeuka uku corona,wakigeuka kwingine kuna njaa Kali,wakigeuka kwingine nzige wanamaliza mazao,Mungu atunusuru sote
Sasa sisi kila wakati tunawaita makaburu, mabeberu na nini sijui !!.
Uongozi wa ki communist hautufikishi popote. Ni majigambo yasiyo ya msingi.
Odhis *
Uwe na adabu kidogo,misaada hii utaolewa bure.
Fedha hizo ni mkopo na sio zawadi....Hupewa wanaoomba.
Fedha zenyewe zinaishia kwenye mfuko wa suruali wa uhuru Kenyatta na genge lake la serikali.Fedha hizo ni mkopo na sio zawadi....Hupewa wanaoomba.
Acha kutetea ujinga bado tunahitaji misaada tena mingi,.
Sema mmenyimwa kwa ujeuri wenu, Yaani mwatukane then wawape masaada.. Mtakula Jeuri yenu..
Sent using Jamii Forums mobile app