Shirika la Haki za Binadamu laishutumu Tanzania 'kubana haki za kiraia'

Shirika la Haki za Binadamu laishutumu Tanzania 'kubana haki za kiraia'

Marekani yenyewe imewatimua tiktok sembuse cc BBC.mbuzi wewe hujielewi.hamia BBC ukaishi huko
Dunia ni kijiji, wacha watumulike kisawasawa. Tuna Watawala wamejaa giliba ,kiburi,chuki,ubinafsi utadhani Taifa ni mali yao binafsi.
 
Wewe ndio zwazwa.IPO siku utafil...a ndio utajua hao watu wa haki za binadamu wanahitaji sasa utumike icho kinyeo chako kikae sawa kipakwe mafuta.
Halafu kwa kujua Nchi yetu ina MWAZWAZWA wengi utawasikia hao maccm au yule mgombea wao anayejiita KICHAA wakidai ni MABEBERU hao hawatutakii mema wanaona Nchi yetu inafanya vizuri sana!!! [emoji15][emoji15][emoji15]
MXIIIIEEEEWWWWWWWWWWWWWW
 
Back
Top Bottom