Mimi style tu ya uandishi wako,somo la panctuation marks litakuwa lilikupita kushoto.kwani pope ,ndo Nani !?,pale sio kanisani .masuala ya siasa awaachie wanasiasa ,adili nakanisa lake,ambalo lina endekeza ulawiti !!
Hilo sio jukum letu, si tunajua kajiuzuru basi.Anabadilisha nini kwa kujiuzuru kwake, au kuna athari gani kwa utawala wa Putin, Mbona kuna mameya kama watano wamejiuzuru mwanzoni mwa hili sakata na operasheni inaendelea?
Halaf wewe ndio unajiona mjanja[emoji23][emoji16][emoji3]Tangu Putin akatae kuonana na Pope Francis nimemuona Mjinga sana
Ajiandae kutekwa na Bashite na genge lake la watu wasiojulikana.Boris Bondarev, mwanadaplomasia mzoefu wa Russia katika ofisi za UN Genevea amejiuzulu katika kazi yake akiandika barua kali inayosema anaona aibu kuhusishwa na matendo nchi yake kwa sasa na hawezi kuwa sehemu ya kinchoendela. Pia ameandika Putin ameigeuza Russia kuwa igizo la hofu kuu.
Kwan pope Ni Nani kiongoziTangu Putin akatae kuonana na Pope Francis nimemuona Mjinga sana
Huyo pope mauaji kibao USA na NATO wamefanya sijawahi kusikia kaomba kukutana na viongozi wa USATangu Putin akatae kuonana na Pope Francis nimemuona Mjinga sana
hahahahaaaaawanakuja kubishana sasa hiv na vitecno na viaitel vyao....vibichwa kama kabichi nyau....[emoji57][emoji57]
yaan kuna muda munaonesha utaila wenu yaan kumpinga Putin ni kudanganywa na EU ? kwahiyo kuvamia na kuua ni sawa tuHawa ndio wajinga wanapandikizwa na EU na kupewa mahela ya kutosha na hifadhi, kwani vita imeanza leo? kwanini hakujiuzulu mwanzoni?