Shirika la kijasusi la Urusi, FSB limesema Warusi walio ondoka Urusi watimia milioni 4 ndani ya muda mfupi - hakukaliki

kwani pope ,ndo Nani !?,pale sio kanisani .masuala ya siasa awaachie wanasiasa ,adili nakanisa lake,ambalo lina endekeza ulawiti !!
Mimi style tu ya uandishi wako,somo la panctuation marks litakuwa lilikupita kushoto.
 
Ajiandae kutekwa na Bashite na genge lake la watu wasiojulikana.
 
Hawa ndio wajinga wanapandikizwa na EU na kupewa mahela ya kutosha na hifadhi, kwani vita imeanza leo? kwanini hakujiuzulu mwanzoni?
yaan kuna muda munaonesha utaila wenu yaan kumpinga Putin ni kudanganywa na EU ? kwahiyo kuvamia na kuua ni sawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…