Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Tangu awamu ya 6 imeanza Waarabu wanaitafuta Tanganyika kwa kila hali.

2F01919E-1E32-4C91-8B20-6D69BCC1E1A0.jpeg
 
Kweli kokoro la mvuvi wa Dubai mwezi February 2022 lilivua mengi katika nyavu zake
Inawezekana ndio ile mikataba mingine 16 tuliyoambiwa wameingia, hapa napo terms zake lazima ziwe za hovyo tu.

Maana kila nikirudia kuzisoma zile terms za kwenye ule mkataba wa hovyo wa bandari, naona ni kama vile walioandika walikuwa wameleweshwa na mvinyo kwa kiarabu, walijipendekeza sana kwa mwarabu.
 
Back
Top Bottom