Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

Nilienda posta mpya kununua sanduku kwa ajili ya kampuni yangu,nilipofika sehemu husika nilikuta mzee mmoja na vijana wawili,nilisalimia nikaketi bila kukatibishwa,nilikua dk 15 bila kuulizwa chochote,niliamua kuondoka,nikaenda kununua sanduku posta ya chang'ombe temeke,Wacha wauzwe tu
Posta wanafanya kazi kizamani,kizembe,kimazoea

Ova
 
Hata gas ya Mtwara wakati watu wanauwawa tuliambiwa tutauza hadi umeme nje, na tutapata mapato makubwa kwenye mauzo hayo. Hapa unachoendeleza ni utapeli ule ule tuliozoea kutoka kwa chama cha majizi ya kura.
Mwendazake ndiye alizuwia miradi ya gas, mama anaifufuwa yote na zaidi.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
2 down 15 to go...sera za CCM taratibu zinaturudisha utumwani! Sijui ni lini hata hiyo CCM watapewa waarabu kwani imejaa mafisadi, wadokozi, wezi, walafi, wavivu wa kufikiri, wala rushwa, wapiga meza...yaani!
 
Mwendazake ndiye alizuwia miradi ya gas, mama anaifufuwa yote na zaidi.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

Kafufua mradi gani wa gas hadi sasa? Maana dhalimu alishasema gas sio yetu imeshauzwa.
 
Hayo makampuni yaliyojifia sawa, ila sio bandari. Wapewe na reli ya kaskazini wapambane nayo. Waje wawekeze kwenye kilimo, lakini wapewe sehemu kame ili waweke miundombinu ya umwagiliaji.
kilimo mbona kiko vizuri sana una hata tuta la mboga kweli au unaongea nadharia tuh
kazi kubwa inaendelea chini ya mweshimiwa Hussein Mohamed Bashe nchi sasa kuwa ya asali na maziwa ni swala la muda tuh
 
Bado na TTCL nayo tumpe mwarabu maana haileti faida yoyote zaidi ya kuwa mzigo tu.
 
kilimo mbona kiko vizuri sana una hata tuta la mboga kweli au unaongea nadharia tuh
kazi kubwa inaendelea chini ya mweshimiwa Hussein Mohamed Bashe nchi sasa kuwa ya asali na maziwa ni swala la muda tuh
Zingatia matumizi ya herufi kubwa na ndogo, ikiwemo na nukta tafadhali.
 
Kama ni hivyo basi ni vyena sana kuliko wale wanaokuja kutuibia. Na kutulazimishia ushoga.

Uislam ni mwema sana.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kwani hapo Zenji walikojaa mashoga hadi ma askari nako ni walikuja wazungu??

Ushoga umejaa Islamic state had aibu.

Umevurugwa wee bibi, mxxxxiiiiiieeeeewwww
 
Wana lengo la kueneza Uislamu. Hiyo ndiyo ajenda kuu nyuma ya hiki kinachodaiwa Uwekezaji.
Mbona hii issue mnaichukulia sana kidini, wazungu tumeingia nao mikata mingapi??? Tena mibovu, Nana ashawahi kutoka na Ku claim lengo ni kueneza kitu flani au dini flani??

Au waarabu hawana kuwekeza Tanzania??

Acheni double standards!

Na ukichunguza kwa umakini utagundua sio kinachopingwa na uwekezaji Bali ni uarabu unaonasibishwa na uislaam, u

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Ushahidi wa kesi upo wa kutosha, tatizo uvivu wako kifikra unaokufanya muwashangilie waarabu hovyo, ndio unaokufanya ushindwe hata ku google.
Tuhuma urushe wewe, ushahidi alete yeye!

Kumbe upo muflis kiasi hicho?

If such are the priest, God bless the congregation.
 
Back
Top Bottom