Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

Tupate katiba mpya bora na tume huru ya uchaguzi Hangaya hatoboi 2025
Hata tume iwe huru vipi mama samia atashinda kwa sababu hakuna nchi hata moja duniani ambayo rais anawekwa madarakani na wananchi isipokuwa wananchi huongozwa kuchagua chaguo la wachanguaji yaani KING MAKERS.
IKITOKEA WACHAGUAJI WAKACHACHAMAA BASI WANALAZIMISHWA KUKUBALI CHAGUO LA WACHAGUAJI. Tazama mifani kule Marekani yaliyowapata Al Gore na Hilary Clinton.
Kwa hapa bongo tazama yaliyowapata wafuatao
1. Kikwete mwaka 1995
2. Salim Ahmed Salim mwaka 1985
3. Wale wanawake wawili waliobaki na magu kwenye kura za maoni mwaka 2015 tafuta taarifa za ndani kabisa utaelewa
4. Marehemu Maalim Seif 1995, 2000, 2005, 2010 na 2015.
Wewe na mimi hatuchagui ila tunahalalisha aliyekwishachaguliwa na wachaguaji.
 
Officially sasa sisi na waarabu mambo ni bam bam waache na ubaguzi tuoane kabisa
 
Kwa hapa tulipofikia ili twende na Kasi ya wakati huu wamabadiliko ya mifumo na vitu vyote nasema vitu vyote nikiwa na maana vitu vyote Vimeondoka kwenye teknolojia ya zamani na kuingia teknolojia mpya Sasa kwa vile sisi tulibaki kwenye mifumo ya zamani ambayo haitatuletea tija zaidi ya kutukomba hela za wanyonge ili kulipia uendeshaji usiolipa na hata kuzibadili kwa vipato vidogo hatuwezi maana tutafika tumechoka na tufika kwa vichache tutakuta mifumo imebadilika Tena, Sasa ili tufike bila kuumia inabidi hii mbinu ya uwekezaji ndo itumike kila chenye hasara na mifumo ya kizamani kiwekezwe ili tuweze kwenda na dunia na biashara za kisasa ila tunachopaswa kufanya nikuomba hiyo mikataba iwe wazi ili watanzania wajue Nini watachofaidika nacho.

Huko nyuma kidogo Kuna thread zilikuja kutushitua tujiandae na mabadiliko ya kimfumo ili tuendane na ulimwengu lakini watu walisema ni mbali sana Sasa ndo hivyo umbali umeondolewa kwa njia ya uwekezaji, mfano hili shirika la posta linajiendesha kwa mfumo wa kizamani Tena wa kizembezembe tu na huku operation zinahitaji hela ambayo inatoka kwenye Kodi, njoo hiyo TTCl yaleyale vocha hata kwenye miji mikuu hakuna, mwendokasi nao hivyohivyo hakuna magari ya kutosha Wala hawapo kwenye mikoa mikubwa, Sasa nchi ikiacha watu wake waishi kizamani yaani kikalekale unadhani hela zitatoka wapi si ndo mambo yakuuza korosho chafu ukizani unauzia watanzania wenzio kumbe unauza kwenye mataifa yenye teknolojia nzuri nao wanakurudishia bidhaa zako zisizo na viwango , haya tulizuia viwanda vya nguo Kuja kisa mafundi cherehani watapata shida Sasa Leo nguo za nchi nyingine ndo zinavaliwa huku mzigo wa nguo ukifatwa mbali kiasi Cha kufanya Bei iwe kubwa, Sasa ndo tunaona madhara ya kukumbatia mifumo ya kizamani.
 
U
Inawezekana ndio ile mikataba mingine 16 tuliyoambiwa wameingia, hapa napo terms zake lazima ziwe za hovyo tu.

Maana kila nikirudia kuzisoma zile terms za kwenye ule mkataba wa hovyo wa bandari, naona ni kama vile walioandika walikuwa wameleweshwa na mvinyo kwa kiarabu, walijipendekeza sana kwa mwarabu.
po 31. Subiri sindano ikuingie.


Unafahamu kuwa bandari ya Dar pekee itachangia zaidi ya alilimia 60 ya bajeti yetu bada ya mwaka mmoja wa mwanzo wa utendajj wa DP World?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Hayo makampuni yaliyojifia sawa, ila sio bandari. Wapewe na reli ya kaskazini wapambane nayo. Waje wawekeze kwenye kilimo, lakini wapewe sehemu kame ili waweke miundombinu ya umwagiliaji.
 
U

po 31. Subiri sindano ikuingie.


Unafahamu kuwa bandari ya Dar pekee itachangia zaidi ya alilimia 60 ya bajeti yetu bada ya mwaka mmoja wa mwanzo wa utendajj wa DP World?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Hata gas ya Mtwara wakati watu wanauwawa tuliambiwa tutauza hadi umeme nje, na tutapata mapato makubwa kwenye mauzo hayo. Hapa unachoendeleza ni utapeli ule ule tuliozoea kutoka kwa chama cha majizi ya kura.
 
Wana lengo la kueneza Uislamu. Hiyo ndiyo ajenda kuu nyuma ya hiki kinachodaiwa Uwekezaji.
acha upumbavu huo watanzania ni nani ametuloga sisi hao waarabu wa oman, qutari, saudia ni wameendelea sana hatuwakuti na ni raisi sisi kushirikiana nao kwann tunakuwa waogawaoga..
vitabu vyote vya dini vinaeleza tusiache kutafuta maarifa hata kwa wasio wa imani yetu sembuse hawa waarabu ambao nusu ya watanzania ni imani yao..

mwisho ngoja nikwambie tu usischokijua unapomuona mwarabu wa saudia , qutari sijui na omani ujue mzungu yupo nyuma yake hao waarabu wanafanya mambo kimkakati kwa kushirikiana sana na wazungu..
 
Shida ya tz watu wenye akili mnawaweka mtaani halafu vilaza mnajaza ofisini,yaani hata kuendesha posta mlete waarabu kweli?
Nilienda posta mpya kununua sanduku kwa ajili ya kampuni yangu,nilipofika sehemu husika nilikuta mzee mmoja na vijana wawili,nilisalimia nikaketi bila kukatibishwa,nilikua dk 15 bila kuulizwa chochote,niliamua kuondoka,nikaenda kununua sanduku posta ya chang'ombe temeke,Wacha wauzwe tu
 
Hapa ndipo mtautaka utawala wa majimbo
 
Back
Top Bottom