Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu

Mbona hii issue mnaichukulia sana kidini, wazungu tumeingia nao mikata mingapi??? Tena mibovu, Nana ashawahi kutoka na Ku claim lengo ni kueneza kitu flani au dini flani??

Au waarabu hawana kuwekeza Tanzania??

Acheni double standards!

Na ukichunguza kwa umakini utagundua sio kinachopingwa na uwekezaji Bali ni uarabu unaonasibishwa na uislaam, u

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hata Wazungu walipingwa sana kipindi cha Magufuri.
 
Mwarabu na Mchina ni wezi wa kutupwa hawana huruma na Mwafrika.Afadhali Mchina anatujengea hata madaraja lakini Mwarabu kazi yake ni kujenga misikiti na kutengeneza dependency wengi.
Sasahivi ndio wana mitaji mikubwa na hizi investements zinahitaji mitaji mikubwa sio hela ya mawazo,ukizingatia sasahivi mzungu yupo hoi kifedha vita na corona vimeathiri uchumi wa mzungu, so hoja ya dini haina mashiko maana the brain behind kwenye investment ya muarabu ni ni mzungu ,
 
Sasahivi ndio wana mitaji mikubwa na hizi investements zinahitaji mitaji mikubwa sio hela ya mawazo,ukizingatia sasahivi mzungu yupo hoi kifedha vita na corona vimeathiri uchumi wa mzungu, so hoja ya dini haina mashiko maana the brain behind kwenye investment ya muarabu ni ni mzungu ,
Hakuna nchi iliyowahi kukombolewa na Mwarabu duniani.
 
Mashoga wengi ni Waarabu kwa sababu wao ni wachafu.
Jionee mambo haya 👇🏾

1687015711803.png

Homosexual priest to 'marry' Nigerian male model​

Kasisi shoga wa Kanisa la Uingereza ametangaza mpango wa "kuoa" mpenzi wake mwanamitindo wa kiume kutoka Nigeria,

Chanzo: Homosexual priest to 'marry' Nigerian male model
 
Yawezekana hapo awali ilikuwa ngumu mimi kutuma na kupokea parcel kutoka Dubai kupitia Shirika la posta sasa inaenda kuwa suala jepesi, maana wanaenda kushirikiana katika maeneo matatu ikiwemo kupokea mizigo
 
Ujambazi na Ugaidi ndiyo sifa yao.
Kama umeenda shule utajua kwamba ugaidi ni kitu kimetengenezwa kwa lengo fulani, hata gaddafi tuliaminishwa mbaya akauliwa huku tunaona nchi smbayo watu wake walikuwa na maisha mazuri kuliko hata mchi za ulaya, lakini wakalishwa fitna hadi wakamuona mbaya,
Same kwa saddam dunia ikaaminishwa ana silaha za kibiologia ,powell alisimama UN security council akatoa hotuba na ushahidi wa uongo kwa masaa mawili kuiaminisha dunia kwamba saddam ana silaha hizo kitu ambacho sio kweli na uongo huo walipewa na mossad, hii dunia tumia akili zako alizokupa mungu watu wanaangalia maslahi hao unaowaita magaidi wengi wanapewa hela na hso wazungu kwa maslahi yao ili kuvuruga amani, hivi kwa akili ysko wale waasi wa congo wanapata wapi silaha kali kila siku vita miaka na miaka haviishi na marekani hatii neno
 
Hakuna nchi iliyowahi kukombolewa na Mwarabu duniani.
Issue sio ukombolewe issue ni biashara its ein win situation ,mtu anaingiza billions of dollars wewe unaongeza mapato yako na yeye anapata return ya investment yake ndio biashara, na wamefanya hivyo hadi huko kwa wa wazungu uingereza
 
Lugha ya kiarabu ingizwe na iwe ya kufundishwa na kufundishia kwenye shule zetu.
 
Back
Top Bottom