Shirika la Reli Tanzania wamepata wapi pesa za kununua Magari ya kifahari ilhali hawaliingizii taifa faida yoyote zaidi ya kutoa huduma?

Na wao wanaongoza pesa nyingi sana serikalini kupitia kodi.Kila tiketi mtu anakata mna kodi ya Serikali

Mleta mada mashikirika kama TRC Serikali inavuna kodi hasa
Mleta mada una ufinyu wa uelewa
Wao ni kina nani ?

Shirika la Umma lipo pale kufanya service na sio kufuja hata zikipatikana / wakikusanya peza za kumwaga inabidi ziende kusaidia UMMA, ni mangapi wanaweza kuboresha ? au kila kitu kipo perfect in terms of service ?!!
 
Kama Akili yako ndogo kujadiri mambo makubwa lala Mzee au tafuta stori za Simba na yanga ukajadiri huko.
KujadiriΓ—β€’β€’β€’β€’kujadiliβœ“
Kajifunze kwanza kiswahili msomi uchwara
 
Wao ni kina nani ?

Shirika la Umma lipo pale kufanya service na sio kufuja hata zikipatikana / wakikusanya peza za kumwaga inabidi ziende kusaidia UMMA, ni mangapi wanaweza kuboresha ? au kila kitu kipo perfect in terms of service ?!!
Reli Mwendo kasi wanayojenga maporini huko unataka waende na Magari ya Toyota vitz? Au kirikuu? Au Bajaj?
Au bodaboda kusimamia na kukagua progress?

Reli ikiwa na shida mahali unataka wafike haraka kwa kutumia baiskeli au? Hoja yako Haina maana
 
Hili shirika lilikuwa kama limekufa, ila kutokana na miradi ya sasa, shirika limefufuka na huitaji wa vitu vipya kama magari ukaonekana.

Kuhusu, ni aina gani ya gari wanunue; hii inatokana na bajeti waliyonayo pamoja na uvumilivu wa mtumiaji anapokuwa barabarani kwa chombo husika.​
 
Hilo shirika ni sehemu ya kupigia pesa tu ukiangalia hizo reli sehemu zingine unaona kabisa usalama wa kupita treni hapa ni mdogo sana sema imewakuta watu wasiojali maisha ya wasafiri wacha waboreshe usafiri wao badala ya kuboresha mradi wa Serikali...
 
Yaani baada ya kusema Mungu kaamua ugomvi nilidhani now ni muda wa kushangilia kila linalotokea but sioni badiriko the same template.
 
Jee hadhi ya hayo magari ya hao viongozi wa TRL /TRC yana reflect ubora na unadhifu wa mabehewa yanayotoa huduma ? Niliyaona mabehewa ya kwenda Moshi Arusha , nilichoka !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…