myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Siyo kweli.
Mimi ni mwanahisa wa Crdb dividends tunapewa benk inapopata faida.
Kwanza wanalipwa preffered shareholders halafu ndio sisi makabwela yaani ordinary!
Maduhuli kumbe asili yake ni Anglo saxon🤔Ni maduhuli na sio dividends.
Jipige kifuani sema ww KILAZA. Gawio hutokana na Profit kwa wale profit oriented organization au surplus kwa kwale non. Gawio lolote hutokana na kiasi cha FAIDA iliyopatikana. Sasa ww gawio hilo unapataje bila kufunga vitabu vya mahesabu?kutoa gawio sio mpaka uwe na profit acha kukariri
Asante kwa uzi huu soma hapa
Ni maduhuli na sio dividends.
P
Unajua kazi kubwa ya CASHFLOWS STATEMENT?aliangalia cashflow
Asante kwa uzi huu soma hapa
Ni maduhuli na sio dividends.
P
Huyu jamaa sijui anataka kutulisha matango ya wapi?Wanaweza kutoa interim na baadae final dividend. Interim sawa ila final hapana. Inerim inatolewa kabla ya mahesabu kufungwa.
Final Dividend zinatolewa kwenye faida baada ya kodi. Sasa kama ni hasara utatoa wapi?
ndio mkuuUnajua kazi kubwa ya CASHFLOWS STATEMENT?
Meko kashakuwa mwendazake embu amkeniKwema wanaJF,
Kumekuwa na watu wanasema ATCL ilipata hasara kwa hiyo haikupaswa kutoa gawio dhana ambayo sio kweli kwa kuwa gawio hutoka kwenye cash flow iliyopo kwenye shirika na sio mpaka pawe na faida kwenye financial statement.
Kama cash flow ipo gawio linatolewa vizuri tu. Tena hata kama shirika limepata hasara hukopa kulipa gawio japo hio njia ni so risk.
Nashangaa hata CAG Uttoh hajui gawio hupatikana vipi nabaki nasema hiiiiiiii
Kwahiyo kama ni Maduhuli.asante kwa kurekebisha ndio ni maduhuli
Kama unakiri ni so risky basi ndio maana common sense inadictate kama shirika halijazalisha faida haliwezi kutoa faida, maana kukopa ili ukalipe deni sio busara kwani haikupi unafuu wowoteKwema wanaJF,
Kumekuwa na watu wanasema ATCL ilipata hasara kwa hiyo haikupaswa kutoa gawio dhana ambayo sio kweli kwa kuwa gawio hutoka kwenye cash flow iliyopo kwenye shirika na sio mpaka pawe na faida kwenye financial statement.
Kama cash flow ipo gawio linatolewa vizuri tu. Tena hata kama shirika limepata hasara hukopa kulipa gawio japo hio njia ni so risk.
Nashangaa hata CAG Uttoh hajui gawio hupatikana vipi nabaki nasema hiiiiiiii
Hapo umeongea kitaalamu vizuri sana.Wanaweza kutoa interim na baadae final dividend. Interim sawa ila final hapana. Inerim inatolewa kabla ya mahesabu kufungwa.
Final Dividend zinatolewa kwenye faida baada ya kodi. Sasa kama ni hasara utatoa wapi?
Off point, rejea mada hapo juu! 13/100 bad fail!Kampuni au taasisi ambayo inauza hisa zake kwenye soko la hisa, inapaswa kutoa hesabu zake za mwaka kila mwaka. Katika hesabu hizi kampuni itaonesha mapato, matumizi, faida na hata hasara.
Iwapo kampuni imepata faida mwisho wa mwaka wa fedha, faida ile inapaswa kurudi kwa wanahisa wa kampuni hiyo.
Ile sehemu ya faida ya kampuni inayolipwa kwa wanahisa ndiyo inaitwa gawio. Hichi ni kipato ambacho mwekezaji anapata kutokana na uwekezaji ambao amefanya.
Kupata gawio, hakupunguzi chochote kwenye hisa za mwekezaji, badala yake anakuwa amepata faida, huku hisa zake zikiendelea kuwa kama zilivyokuwa. Hivyo hata kama atapokea gawio kila mwaka kwa miaka mitano, akija kuamua kuuza hisa zake atapata thamani ya zile hisa.
ni maduhuli kwa kuwa wanazichukulia kama non profit making organizations ila in reality zinatengeneza faida so kuna kuwa na mkanganyiko ila maduhuli kwa kiingereza yanaitwaje?Kwahiyo kama ni Maduhuli.
Basi CAG alikuwa Sahihi maana yeye aliongelea Gawio( devidend).
So kubali wew ndio umekosea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dividends are paid from cash flow, not earn
Sio kwelihata wakipata hasara ila wakawa na cashflow nzuri wanalipa pia wanaweza kulipa toka kwenye assets au kukopa benki
ATCL had -ve cash flow hence reason for subventions from treasury, no capacity whatsoever to dish out a dividend!Dividends are paid from cash flow, not earnings
Asante kwa uzi huu soma hapa
Ni maduhuli na sio dividends.
P
wanaweza kukopa soma hapaATCL had -ve cash flow hence reason for subventions from treasury, no capacity whatsoever to dish out a dividend!
Achana na ishu nyingine.ni maduhuli kwa kuwa wanazichukulia kama non profit making organizations ila in reality zinatengeneza faida so kuna kuwa na mkanganyiko ila maduhuli kwa kiingereza yanaitwaje?