connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Point. Mwamba anakua defensive Sana nahisi hamna elimu mule kama Ndaro tu1. Huyu "Ëngineer" wa instagram anafaa kusaidiwa kitaalamu ili ajisajili ERB na kampuni yake isajiliwe BRELA, TRA, OSHA, NEMC ili apate kazi kubwa zaidi.
2. ukimsikiliza vizuri, anaonekana mjuzi haswa japo ni kama hajui namna ya kuwasilisha utaalamu wake kwa umma akaeleweka.
Yes. Akijikubali na ungumbaru wake atafika mbalianajisifiabsana yule fwala ila ana kitu
Mhh ni Engineer yule?1. Huyu "Ëngineer" wa instagram anafaa kusaidiwa kitaalamu ili ajisajili ERB na kampuni yake isajiliwe BRELA, TRA, OSHA, NEMC ili apate kazi kubwa zaidi.
2. ukimsikiliza vizuri, anaonekana mjuzi haswa japo ni kama hajui namna ya kuwasilisha utaalamu wake kwa umma akaeleweka.
Utitiri wa usajili unasaidia nini kukuza utaalamu? Au ni kukisanya mapato tu?1. Huyu "Ëngineer" wa instagram anafaa kusaidiwa kitaalamu ili ajisajili ERB na kampuni yake isajiliwe BRELA, TRA, OSHA, NEMC ili apate kazi kubwa zaidi.
2. ukimsikiliza vizuri, anaonekana mjuzi haswa japo ni kama hajui namna ya kuwasilisha utaalamu wake kwa umma akaeleweka.
Ni tapeli kama matapeli wengine, ashauriki, hasomi gugo kujiongezea ufahamu halaf hata kizungu hajui , ndo mana hawezi kujosomea gugo ambayo materials nzuri zipo kizungu lughaPoint. Mwamba anakua defensive Sana nahisi hamna elimu mule kama Ndaro tu
Lipia tangazo Ndugu Shirima1. Huyu "Ëngineer" wa instagram anafaa kusaidiwa kitaalamu ili ajisajili ERB na kampuni yake isajiliwe BRELA, TRA, OSHA, NEMC ili apate kazi kubwa zaidi.
2. ukimsikiliza vizuri, anaonekana mjuzi haswa japo ni kama hajui namna ya kuwasilisha utaalamu wake kwa umma akaeleweka.
Tulikubaliana engineers hatuongei kama wanyangwine,ila tupeleke site 😆😆1. Huyu "Ëngineer" wa instagram anafaa kusaidiwa kitaalamu ili ajisajili ERB na kampuni yake isajiliwe BRELA, TRA, OSHA, NEMC ili apate kazi kubwa zaidi.
2. ukimsikiliza vizuri, anaonekana mjuzi haswa japo ni kama hajui namna ya kuwasilisha utaalamu wake kwa umma akaeleweka.
Tupe clip na picha za kazi alizofanya1. Huyu "Ëngineer" wa instagram anafaa kusaidiwa kitaalamu ili ajisajili ERB na kampuni yake isajiliwe BRELA, TRA, OSHA, NEMC ili apate kazi kubwa zaidi.
2. ukimsikiliza vizuri, anaonekana mjuzi haswa japo ni kama hajui namna ya kuwasilisha utaalamu wake kwa umma akaeleweka.
Huyo alivaa joho sio ngumbaru. Ni vile tu hajitambui.Yes. Akijikubali na ungumbaru wake atafika mbali