Shirima ujenzi bora Tanzania asaidiwe kitaalam ana kitu, atafika mbali!

Jamaa ana ....sijui tuite ni ulimbukeni na kaushamba Fulani hivi ndio maana Kuna watu wanaajiri kabisa mtu wa social media....Kuna saa anakwenda off kabisa...ila acha ajitafutie ugali na kazi zake ni nzuri shida kajiushamba Fulani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…