Shishi Baby amlia mingo Raymond wa WCB, Wanyonyana ndimi nje nje

Shishi Baby amlia mingo Raymond wa WCB, Wanyonyana ndimi nje nje

Sijui hawaoni aibu kusaula mbele ya dogo uliyemzidi 7 years halafu anakupigisha kwata la upendo duuuu!
 
Wakijakushtuka wameachiwa magonjwa,wengine vipaji vimeshuka pesa za show walikopeleka hapajulikani basi stress zake hukimbilia kumalizia kwenye cocaine na bangi mwaka wa kwanza wa pili parapanda inalia.

Nimesoma mahali yule bwana mdogo hamoniz kampeleka bibie kwa wakwe mamaake nae kampokea,najiuliza iko wapi heshima ya mama anayopaswa kupewa na mwanae?(personally,mahusiano yangu kabla sijaoa nilikuwa najitahidi sana mama yangu asijue na hakuwahi hata kuhisi hadi nilipotambulisha mchumba nyumbani).

Mama nae anaruhusu ujinga huo eti anamkaribisha mkwe amejipaka mirangi rangi kichwani.Haihitaji elimu ya darasani kujua kama hawa wanaojiita wapenzi kwa tittle zao hawatokaa waishi maisha yaliyotulia ya ndoa ila mama kijana anashiriki,what a shame.

Umeongea kiume hadi nimekupenda bureeee!
 
Sijui hawaoni aibu kusaula mbele ya dogo uliyemzidi 7 years halafu anakupigisha kwata la upendo duuuu!

Shangaa na wewe.
Mtu kama shilole tumbo lenyewe lishatepeta lile, kifua ndio ndembe ndembe kabisa ila yuko kujichoresha tu ptuuuuuuuu!!!
 
Wakijakushtuka wameachiwa magonjwa,wengine vipaji vimeshuka pesa za show walikopeleka hapajulikani basi stress zake hukimbilia kumalizia kwenye cocaine na bangi mwaka wa kwanza wa pili parapanda inalia.

Nimesoma mahali yule bwana mdogo hamoniz kampeleka bibie kwa wakwe mamaake nae kampokea,najiuliza iko wapi heshima ya mama anayopaswa kupewa na mwanae?(personally,mahusiano yangu kabla sijaoa nilikuwa najitahidi sana mama yangu asijue na hakuwahi hata kuhisi hadi nilipotambulisha mchumba nyumbani).

Mama nae anaruhusu ujinga huo eti anamkaribisha mkwe amejipaka mirangi rangi kichwani.Haihitaji elimu ya darasani kujua kama hawa wanaojiita wapenzi kwa tittle zao hawatokaa waishi maisha yaliyotulia ya ndoa ila mama kijana anashiriki,what a shame.
Generation of loose morals
 
Wakijakushtuka wameachiwa magonjwa,wengine vipaji vimeshuka pesa za show walikopeleka hapajulikani basi stress zake hukimbilia kumalizia kwenye cocaine na bangi mwaka wa kwanza wa pili parapanda inalia.

Nimesoma mahali yule bwana mdogo hamoniz kampeleka bibie kwa wakwe mamaake nae kampokea,najiuliza iko wapi heshima ya mama anayopaswa kupewa na mwanae?(personally,mahusiano yangu kabla sijaoa nilikuwa najitahidi sana mama yangu asijue na hakuwahi hata kuhisi hadi nilipotambulisha mchumba nyumbani).

Mama nae anaruhusu ujinga huo eti anamkaribisha mkwe amejipaka mirangi rangi kichwani.Haihitaji elimu ya darasani kujua kama hawa wanaojiita wapenzi kwa tittle zao hawatokaa waishi maisha yaliyotulia ya ndoa ila mama kijana anashiriki,what a shame.
Hilo ni tatizo la wazazi kuacha mtoto anakua bread winner kwenye familia. Automatically nae anakua baba. Tafta familia ambazo walikua mafukara na badae mtoto akatoboza. Mara nyingi watoto hao huwa wanajiamulia na wazazi hawana kabisa say maana mtoto ndio provider.
 
Hawa madogo wanavamia game kwa pupa, na kitakacho wa cost ni kutaka kuishi maisha ya boss wao.
Hao mabibi hawana jipya zaidi ya kufuata pesa tu. Kama huyu Hamonise yani nikisikia jina tu nachefukwa.
Hivi thamani ya mama sasa hivi ipo wapi maana dizain kama imeshakuwa fashen hivi.
 
Hawa madogo wanavamia game kwa pupa, na kitakacho wa cost ni kutaka kuishi maisha ya boss wao.
Hao mabibi hawana jipya zaidi ya kufuata pesa tu. Kama huyu Hamonise yani nikisikia jina tu nachefukwa.
Hivi thamani ya mama sasa hivi ipo wapi maana dizain kama imeshakuwa fashen hivi.
Hata kama anatafuta kick,angemchukua mamaake mtwara huko akamleta mjini hapa akamfanyia sherehe yake yakuzaliwa pale Mlimani City angekuwa maarufu tu sio kumuingiza kwenye huo uchafu wake wa uzinzi..angekuwa mdogo wangu hata kama me maskini ningemcharaza vibao.
 
Safi sana.. Ni mwendo wa kubemenduka tu..... Aisee hawa madogo inaonekana kipindi hawajatoka walikua wanayahusudu sana hayo majimama..
 
Back
Top Bottom