Shituka: Hizi ndio mbinu za wanawake wa kuwapata mitandaoni

Why 30,000? Asilimia kubwa wanawake vizinga vyao ni elfu30. Ata malaya akienda kutoa show ya kulala anadai elfu30
..hili suala la elfu 30 ni issue....wote ndio anzio lao la chini....sijui ndio bei ya mwanzo ya saloon zao ama vipi?...yaani hii bei imekua common sana na haijalishi ni malaya ama la....wote wanaanzia hapa....
 
Watu waliliwa sana kipindi kile
 
Hiyo mwaka 2011 nilijua kweli lakn kabla sijatuma hela kuna mtu akanistua..!
Ilikuwa naingia choo cha kike.!!!
..hili suala la elfu 30 ni issue....wote ndio anzio lao la chini....sijui ndio bei ya mwanzo ya saloon zao ama vipi?...yaani hii bei imekua common sana na haijalishi ni malaya ama la....wote wanaanzia hapa....
 
Wanajifanya wanawake ila wengi wao ni wanaume
 
Yani wangejua kuwa watu tulistuka mapemaa
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Sasa izo ndio unaziita mbinu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ,
 
Umenikumbusha mbalii sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…