Shituka: Hizi ndio mbinu za wanawake wa kuwapata mitandaoni

Shituka: Hizi ndio mbinu za wanawake wa kuwapata mitandaoni

Na number za mademu kama 50 wengi wapo R chuga na Mbeya na Morogoro, Dar, Moshi na niliwapa badoo na sijawahi kukutana na hata mmoja
 
Nlijua Tegram Ni Messaging App Kumbe Watu Mnapata Matombeo Huko..
Tembea Uone
 
WE jamaa huwez kuwa serious tena nahsi ni domo zege mademu wote wa mtaani kwenu unakimbilia sociall network kutafuta wasichana , inaonekana ushaonga sana pesaaa
 
Na yeyote ajisifue, ajisifu kwamba anamjua mungu.
 
Watawachuna hao hao mapopompo.. Sie wenye ngoz ya nguruwe hata cku moja hakutoki kitu...
 
Jf madada wa humu kwa vizinga hatari,jukwaani wanajifanyaga mambo safi kumbe njaa tupu katika 5 nilikuwa nao mmoja tu ndo alikuwa na penzi la kweli namie
Nimecheka kweli.wewe si ndio unawafata unategemea nini? Utakomolewa tu .
 
Nimecheka kweli.wewe si ndio unawafata unategemea nini? Utakomolewa tu .
tunawafuata kwakuwa wanaume ndo tunaoanzisha mahusiano na nyie ila tatzo lenu mnavyotukomoa ndivyo mnanavyotutoa kuwapenda
 
Hizo mambo bado zipo mm juzijuzi dada wa kiarabu kanitumia picha anasema yuko libya baba yake amepigwa risasi so nimpe msaada nyambafuuuuu
 
Why 30,000? Asilimia kubwa wanawake vizinga vyao ni elfu30. Ata malaya akienda kutoa show ya kulala anadai elfu30
Ata Yuda alimsaliti YESU kwa vipande 30 vya fedha Mkuu...so nahisi 30 ni namba ya wasaliti.
 
Kama hujawahi kupata demu Badoo, Fb, Instagram, Sexchat, Jf, Telegram basi wewe una matatizo na sio kidume kamili ila kama ni fala unaweza ukapunyuliwa vipesa vyako na papuchi usipewe ila kwa sisi makonkodi huwa tunawapa vipara na hela hawapati (tunawakopa) mbinu zao ni hizi hapa[emoji116]

Anaweza akawa Arusha na wewe akijua upo Arusha basi atakwambia yupo Dar ili wewe umtumie nauli aje atakwambia anaumwa ili wewe utume pesa ya matibabu atakwambia ana mgonjwa wa familia yake ila inatakiwa kila ndugu achangie pesa ya matibabu, hapo atakwambia umchangie ila vizinga vyao ni 30
Atakwambia anadaiwa na mtu 30 elfu na hana pesa, anamaanisha umlipie
sasa ndugu yangu kama wewe ni boya utatoa mawe yako na hutapewa papuchi.

NB: Usiwekeze kwa mpenzi wa mtandaoni, huyo chapa na usepe zako, wapo kikazi.
Kumpa Manzi pesa ambaye hujampiga KUNI ni kosa la kutokujielewa....then tunatakiwa tupange kiasi cha kuwapa hawa creatures, maximum 15.
 
Back
Top Bottom