Shituka: Hizi ndio mbinu za wanawake wa kuwapata mitandaoni

Shituka: Hizi ndio mbinu za wanawake wa kuwapata mitandaoni

Me kipind hicho nilikuwa Chuo so sikuwa na uwezo wa kutuma Dola $ 1,000 wakat Huo Dola ilkuwa kama 1500 Tsh sasa nikasema $ Dola 1,000 kwa $ 500,000 bas nika achana nao ila Najua wengi wameibiwa sana aisee na hawa watu wengi ni Wanaijeria na west Africa hiko
Mkuu umenikumbusha mbali sana binafsi kidogo nilizwe nilipomshirikisha mfanyakazi mwenzangu ambaye na yeye ilibakia kidogo alizwe ndipo aliponiambia naibiwa nami nikatoka nduki hatari
 
Kuna demu mmoja tulikuwa tunachati sana mpaka ikafikia wakati akanitumia namba yake, sikumuelewa moja kanipigia simu ili tukutane nili mblock mpaka leo sijawasiliana nae.... Mimi nilikuwa nafanya kama joke kumbe yeye yuko serious
Alikuwa Seriuos kukubomu na sio vinginevyo.
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana binafsi kidogo nilizwe nilipomshirikisha mfanyakazi mwenzangu ambaye na yeye ilibakia kidogo alizwe ndipo aliponiambia naibiwa nami nikatoka nduki hatari
Hiyo huitwa Scam 419 au kwa jina ligine ni Advance fee fraud.
 
Mkuu kumbe siku hizi wameshuka bei? labda wanatofutiana quality maana mimi huwa napigwa vizinga vya elfu 50 nakuendelea, mniupdate pengine huu usawa wa Mhe. wa hapa kazi tu umefanya bei ishuke.
Mnachati mnachamnachati, ikifika wakati wa kupigana miziga unapotea na kumpotezea. Tumia sana derailing techniques.
 
Mnachati mnachamnachati, ikifika wakati wa kupigana miziga unapotea na kumpotezea. Tumia sana derailing techniques.
Mkuu nimeamua tu kustaafu maana naona nafliska sasa kwakweli, unaweza kukutana na dem ukajua hana njaa lkn mwisho wa siku baada ya mazoeya anakupiga kizinga cha hatari.
 
Kuna demu mmoja tulikuwa tunachati sana mpaka ikafikia wakati akanitumia namba yake, sikumuelewa moja kanipigia simu ili tukutane nili mblock mpaka leo sijawasiliana nae.... Mimi nilikuwa nafanya kama joke kumbe yeye yuko serious
Kuna mwanaume mmoja ni mashuhuri kweli hapa mjini anajifanya yeye mkongo. Na ni moja ya wanaume wanaoongoza kutongoza Instagram, alikuwa ananitongoza,Mara njoo sehemu flank,mm ni mlokole,nashinda kanisani, kesho yake kuna MTU aliniomba nikamsaidie kumnunulia gazeti LA mwananchi.Kufika nakutana na sura ya yule mkaka IPO kwenye gazeti.Na kichwa cha habari. JAMBAZI SUGU WA MADINI ANAYETAFUTWA.kusoma ndani anatumia wadada wengi anakuita na kukutapeli,huyo ataacha kukupiga pic za uchi kweli.nlimuogopa mpaka Leo nikamblock Instagram Kabisa.ningemuweka wazi ila naogopa
 
Inategemea jamani. Nadhani ni gia unayoanza nayo. Mimi nilikutana na binti mmoja hapa hapa JF. Tangu mwanzo nilikuwa muwazi kuwa nia yangu haikuwa ngono bali kumfahamu vizuri. Binti alikuwa ananikosha sana jinsi anavyopangilia hoja zake na misimamo yake. Basi tukaanza urafiki tukijadiliana mambo mbali mbali ya maisha. Mwisho wa siku yeye ndo kanitumia nauli tena ya ndege ili niende kwake. Mpaka leo hii amegeuka na kuwa rafiki wa kweli in my life na hajaniomba cho chote japo mara moja moja tu mi mwenyewe najishtukia na kumpelekea vizawadi hasa kutoka nchi za nje ninaposafiri. Kwa hivyo siyo wote wana tabia hiyo.

Love you J mrembo wangu wa Kinyamwezi!
 
Huo ni ujinga yaan MTU in shia minute kumtumia MTU usiyeonana nae labda jini
 
kuna amba
Kuna demu mmoja tulikuwa tunachati sana mpaka ikafikia wakati akanitumia namba yake, sikumuelewa moja kanipigia simu ili tukutane nili mblock mpaka leo sijawasiliana nae.... Mimi nilikuwa nafanya kama joke kumbe yeye yuko serious
o tupo mikoa tofauti..wapo wawili na uzuri wapo mkoa mmoja...uzuri pia waote ni friends fb,,,mwezi huu nitaenda mkoawalipo na wote wamepromis kuvua chupi,,uzuri sijawahi pigwa mzinga
 
zangu ni old school tu. Kutongoza ni uso kwa macho! Mambo ya kutongozana kwenye mitandao ni kutojiamini. wanawake ndiyo wanafaa kutongoza kwenye mitandao, kwakuwa wao inakuwa ngumu kidogo kumuanza mwanaume.
 
Kumbe Kumpata Demu Mtandaooni Ni Ujanja!! Ok, Me Acha Tu Niwe Zoba Milele.
 
Mods mnafanya nin hadi dakika hii huu uchwara bado upo hewani...ivii kazi yenu ni nin hii mada inafundisha nin hasa au inalengo lip katika jamii huyu huyu atakuja pandisha uzi wa ushoga humu msipo kuwa makin....futilia mbali uzi uuu mods
 
Kama hujawahi kupata demu Badoo, Fb, Instagram, Sexchat, Jf, Telegram basi wewe una matatizo na sio kidume kamili ila kama ni fala unaweza ukapunyuliwa vipesa vyako na papuchi usipewe ila kwa sisi makonkodi huwa tunawapa vipara na hela hawapati (tunawakopa) mbinu zao ni hizi hapa[emoji116]

Anaweza akawa Arusha na wewe akijua upo Arusha basi atakwambia yupo Dar ili wewe umtumie nauli aje atakwambia anaumwa ili wewe utume pesa ya matibabu atakwambia ana mgonjwa wa familia yake ila inatakiwa kila ndugu achangie pesa ya matibabu, hapo atakwambia umchangie ila vizinga vyao ni 30
Atakwambia anadaiwa na mtu 30 elfu na hana pesa, anamaanisha umlipie
sasa ndugu yangu kama wewe ni boya utatoa mawe yako na hutapewa papuchi.

NB: Usiwekeze kwa mpenzi wa mtandaoni, huyo chapa na usepe zako, wapo kikazi.
Sasa mkuu hujasema hiyo papuchi tunapataje funguka zaidi
 
Mods mnafanya nin hadi dakika hii huu uchwara bado upo hewani...ivii kazi yenu ni nin hii mada inafundisha nin hasa au inalengo lip katika jamii huyu huyu atakuja pandisha uzi wa ushoga humu msipo kuwa makin....futilia mbali uzi uuu mods
We sijui umejiunga jf leo?,
 
Back
Top Bottom