Wazanzibar kamwe hawawezi kukubali serikali moja i can bet one billion dollars, solution ya kudumu ni kuuvunja huu Muungano wa Nyerere na Karume. fullstop
Kama kuna tatizo Nyerere alilotuachia basi ni huu Muungano, ilipaswa kuwa Muungano wa Serikali moja from the beginning, ila kwa sasa Wanzanzibar wanadai nchi yao yenye Mamlaka kamili, sasa hawa wanaong'ang'ania huu muungano watueleze wazi maslahi yao na hawa ni Watanganyika wenzetu ndio wanautaka huu Muungano.Hata mi ctaki muungano!...nyie viongozi mnaong'ang'ania mtuambie whts behind
Serikali ina maana kila serikali itakuwa na jeshi kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa nchi
Nguli wa sheria afrika Prof. Issa Shivji amesema kuunda serikali tatu hapa tz ni kuvunja muungano. Amesema si wakati muafaka sasa kulumbana kuhusu idadi ya serikali bali tulumbane kuhusu maendeleo ya nchi.
Amesema tunahitaji katiba mpya haraka lakini tuwe makini na baadhi ya mapendekezo yaliyopo kwenye rasimu ya katiba iliyotolewa hivi karibuni.
Source: taarifa za habari ktk vituo vya radio na television na magazeti mbalimbali hapa nchini pamoja mitandao ya kijamii
Watanzania wavivu wakuifikiri kama nyie ndo mnaleta hoja za kijinga.Someni rasimu ya katiba mulewe mambo ya msingi ya Serikali ya Shirikisho na serikali za shiriki.Mambo ya Ulinzi na usalama ni ya Shirikisho na amiri Mkuu ni Raisi wa shirikisho, umesoma wapi kwamba kila serikali itakuwa na majehi yake?.Pili RASIMU ni maoni ya wananchi na siyo ya Waryoba au Tume, acheni unafiki.Serikali mbili hauwezekani na serikali moja haiwezekani.
Shivji ni mnafiki, kama walivyo wazanzibari wengi.
Shivji ana asili ya Uzanzibari na ndio wale waliokimbia huko wakati wa misuko dsuko ya kisiasa.
Na inaelekea ancheza kwao ili kutuzwa.
Angekuwa si mnafiki basi tungesZanzibar inayotaka Zanzibar inwe nchi inayojitambua kuliko ilivyokuwa ndani ya muungano.
Hatukusikia neno wala maoni yake, kama yapo basi ayaweke hadharani ili yaendane na kilio hiki cha Tnganyika kutaka serikali yake nayo kama Zanzibar walivyofanya.
Tatizo la Wazanzibari ni unafiki, wamelilia serikali tatu miaka mingi, na sasa Watanganyika wameamua kweli, jitoeni ili mupate serikali yenu ya Zanzibar, na sisi serikali yetu ya Tanganyika irudi.
Kwa vile Watanganyika ndio tunachangia kila kitu cha muungano ni dhahiri hatutakubali tuwagharimie wazanzibari kuja kula kuku bure huku Tanganyika wakati hawana mcha, masopakyindi at last you have come into your perfect sense! now we are sailling in the same boat and hujainafikisha nafsi yako, po ulembwike kikolo! yeah