ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,335
Nguli wa sheria afrika Prof. Issa Shivji amesema kuunda serikali tatu hapa tz ni kuvunja muungano. Amesema si wakati muafaka sasa kulumbana kuhusu idadi ya serikali bali tulumbane kuhusu maendeleo ya nchi.
Amesema tunahitaji katiba mpya haraka lakini tuwe makini na baadhi ya mapendekezo yaliyopo kwenye rasimu ya katiba iliyotolewa hivi karibuni.
Source: taarifa za habari ktk vituo vya radio na television na magazeti mbalimbali hapa nchini pamoja mitandao ya kijamii
Amesema tunahitaji katiba mpya haraka lakini tuwe makini na baadhi ya mapendekezo yaliyopo kwenye rasimu ya katiba iliyotolewa hivi karibuni.
Source: taarifa za habari ktk vituo vya radio na television na magazeti mbalimbali hapa nchini pamoja mitandao ya kijamii