SHIVJI: Serikali tatu ni kuvunja muungano

SHIVJI: Serikali tatu ni kuvunja muungano

"Kwa maoni yangu, kama tungekuwa na mtazamo wa kidemokrasia tungeweza kubuni muundo ambao unakidhi matakwa ya pande zote mbili bila hatari ya kuuvunja Muungano. Mimi binafsi nimewahi kutoa pendekezo la muundo mbadala. Mara ya kwanza niliwasilisha pendekezo langu kwa Baraza la Wawakilishi [...] miezi michache iliyopita. Kwa muhtasari, nilipendekeza dola kamili mbili, la Zanzibar na la Muungano. Bunge la Muungano litakuwa na mabaraza mawili, Baraza la Wananchi na Baraza la Nchi. Wajumbe wa Baraza la Wananchi watachaguliwa moja kwa moja na wananchi wa pande zote mbili kutoka majimboni. Baraza la Nchi litakuwa dogo lenye, tuseme kama wajumbe 30, 15 kutoka Bara na 15 kutoka Zanzibar wakichaguliwa na Bunge la Zanzibar na wabunge kutoka Bara katika Baraza la Wananchi ilimradi wasiwe wajumbe wa bunge lolote lile. Na nilipendekeza orodha tatu - moja ya mambo ya muungano, nyingine ya mambo ya kushirikiana (concurrent matters) na orodha ya tatu ni juu ya mambo ya pamoja (joint interest). Kutokana na muda siwezi kufafanua; nia yangu ni kudhihirisha kwamba muundo mbadala unawezekana" - Issa Shivji (2013), Ukurasa wa 40-41, Utatanishi na Ukimya Katika Rasimu ya Katiba Mpya: Mhadhara wa Kuaga Kigoda cha [Taaluma cha] Mwalimu [Nyerere Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]
hii ratio ya watu m40:m2, kwa bunge la nchi la 15:15 sijui ni hesabu ya wapi? sijawahi kuiona wala kuisikia ina bidi tutafute nguli wa hesabu toka visiwani na wa bara waweze kutupa formula , na kwa wale nguli wa sharia kama Le Prof Issa Shivji, na wapiga ramli la kisiasa kama Jussaa na Maalim Seif watupe mifano ya case law au sharia inayo sema hivyo au suala kisiasa lilivyo kama wanavyo taka wao
 
Hayo ni mawazo ya shijvi, ni mawazo ya mtu mmoja yakipingana na mawazo ya wazanzibari na watanganyika walio wengi,wazeee wametufundisha wengi wape....kwahiyo Shivji mawazo yake hayana nguvu,huwezi kung'ang'aninia kitu ambacho kimeshindwa kufanya kazi kwa muda wa miaka 50, cha busara ni kuvunja mungano na kuunda chombo chengine chenye manufaa kwa wananchi
Ukisha vunja muungano una sababu gani za kuunda chombo kingine? Chombo hicho 'kingine' kitashughulikia nini ambacho leo hakipo katika muungano?

Tusaidie kama huna jibu edit hiyo post yako na ondoa hayo maneno
 
Ukisha vunja muungano una sababu gani za kuunda chombo kingine? Chombo hicho 'kingine' kitashughulikia nini ambacho leo hakipo katika muungano?

Tusaidie kama huna jibu edit hiyo post yako na ondoa hayo maneno

Ukivunjwa mungano,kila nchi itakuwa na mamlaka yake kamili kila nchi itajiendesha inavyotaka kutokana na geografia na mazingaira yaliyokuwepo kwenye hiyo nchi

Nikisema kiundwe chombo chengine nakusudia kuwepo kwa makubaliano mengine na sio lazima yawe ya siasa,,mfano tanganyika na zanzibar inaweza kuunda chombo cha kuchughulikia biashara kati ya wafanyabishara wa pande zote mbili,kunaweza kuwepo makubaliano ya kuto pigana vita,makubaliano kuwa ikivamiwa zanzibar ndio imevamiwa tanganyika nk

Mungano uliokuwepo sasa baina ya zanzibar na tanganyika ni wa kisiasa tukumbuke kuwa kuungana sio lazima kuwe kwa siasa na kuongozana,mungano wa kuongozana nchi moja ni baba na moja mtoto ndio unaoleta utata,mazingira na geografia ya nchi hizi mbili ni tafauti lazima tukubali tukitaka tusitake
 
Ukivunjwa mungano,kila nchi itakuwa na mamlaka yake kamili kila nchi itajiendesha inavyotaka kutokana na geografia na mazingaira yaliyokuwepo kwenye hiyo nchi

Nikisema kiundwe chombo chengine nakusudia kuwepo kwa makubaliano mengine na sio lazima yawe ya siasa,,mfano tanganyika na zanzibar inaweza kuunda chombo cha kuchughulikia biashara kati ya wafanyabishara wa pande zote mbili,kunaweza kuwepo makubaliano ya kuto pigana vita,makubaliano kuwa ikivamiwa zanzibar ndio imevamiwa tanganyika nk

Mungano uliokuwepo sasa baina ya zanzibar na tanganyika ni wa kisiasa tukumbuke kuwa kuungana sio lazima kuwe kwa siasa na kuongozana,mungano wa kuongozana nchi moja ni baba na moja mtoto ndio unaoleta utata,mazingira na geografia ya nchi hizi mbili ni tafauti lazima tukubali tukitaka tusitake
Tafadhali nakushauri ukae kimya! Ahsante
 
Tafadhali nakushauri ukae kimya! Ahsante

Freedom of speech,freedom of expression,ulinambia nikuwekee jibu,jibu nimekuekea,sasa unataka ninyamaze,unaukana uhuru wangu kama mtanzania,hayo ni mawazo yangu tu, una hiyari ya kuyakubali au kuayakataa uamuzi niwako
 
Freedom of speech,freedom of expression,hayo ni mawazo yangu tu una hiyari ya kuyakubali au kuayakataa uamuzi niwako
Nimesema hivyo kwasababu kama muungano ukivunjika hakuna sababu ya kuunda chombo kingine kwasababu tayari kipo ambacho ni EAC.

Huu ndio uoga unaowakumba wznz wakifikiria kuwa jiografia, tamaduni na uchumi wao una mahusiano zaidi na Tanganyika kuliko nchi nyingine. Hapa ndipo inapokuja hoja ya mkataba na sasa tunasikia chombo kingine.

Chabuso chombo kilichopo ni EAC au SADCC basi! hakuna chombo kingine kitakachokuwa na maana hasa kwa Tanganyika.
 
Nimesema hivyo kwasababu kama muungano ukivunjika hakuna sababu ya kuunda chombo kingine kwasababu tayari kipo ambacho ni EAC.

Huu ndio uoga unaowakumba wznz wakifikiria kuwa jiografia, tamaduni na uchumi wao una mahusiano zaidi na Tanganyika kuliko nchi nyingine. Hapa ndipo inapokuja hoja ya mkataba na sasa tunasikia chombo kingine.

Chabuso chombo kilichopo ni EAC au SADCC basi! hakuna chombo kingine kitakachokuwa na maana hasa kwa Tanganyika.

Nimekusoma mkuu
 
hii ratio ya watu m40:m2, kwa bunge la nchi la 15:15 sijui ni hesabu ya wapi? sijawahi kuiona wala kuisikia ina bidi tutafute nguli wa hesabu toka visiwani na wa bara waweze kutupa formula , na kwa wale nguli wa sharia kama Le Prof Issa Shivji, na wapiga ramli la kisiasa kama Jussaa na Maalim Seif watupe mifano ya case law au sharia inayo sema hivyo au suala kisiasa lilivyo kama wanavyo taka wao
Unatakiwa usome vizuri sana kumwelewa profesa Shivji. Huu ni mfano mmojawapo wa kuonyesha kuwa huwa ana 'reservation'' kuhusu muungano asiyoiweka wazi. Ni vema amesema kuwa alishawahi kutoa mhadhara BLW.

Yeye kama akina Jussa wanaangalia sana nafasi hawaangalii gharama. Sidhani kuwa kuna uhalali wa kuwa 15:15 kama anavyopendekeza. Ndiyo yale yale ya tume ya Warioba nusu kwa nusu, linapokuja suala la gharama znz wanataka kuangalia uwiano kwa maana mkubwa atoe zaidi.

Anaonyesha wasi wasi wa kupungua nguvu za muungano, hajawahi kuonyesha wasi wasi wa BLW kutunga sheria bila kujali katiba ya muungano. Nina muheshimu sana prof Shivji, lakini hili la kujificha uzanzibar nyuma ya taaluma yake sikubaliani nalo.
 
that is more than ukweli kuku. We can have 20 govt but if there is no good governance we're nothing
Muungano is not a part of my life. What I need is things such as Good governance, peace, transparency, accountability, rule of law, equality, proper exploitation of resources, sustainable development plan, and many such related elements.

I hate such words that are being spoken by such people like Mizengo Kayanza Peter Pinda and his allies Nchemba, Lukuvi and Wasira...
 
Shivji ni mnafiki, kama walivyo wazanzibari wengi.
Shivji ana asili ya Uzanzibari na ndio wale waliokimbia huko wakati wa misuko suko ya kisiasa.
Na inaelekea ancheza kwao ili kutuzwa.
Angekuwa si mnafiki basi tungesikia kilio chake cha kupinga katiba mpya ya Zanzibar inayotaka Zanzibar inwe nchi inayojitambua kuliko ilivyokuwa ndani ya muungano.
Hatukusikia neno wala maoni yake, kama yapo basi ayaweke hadharani ili yaendane na kilio hiki cha Tnganyika kutaka serikali yake nayo kama Zanzibar walivyofanya.

Tatizo la Wazanzibari ni unafiki, wamelilia serikali tatu miaka mingi, na sasa Watanganyika wameamua kweli, jitoeni ili mupate serikali yenu ya Zanzibar, na sisi serikali yetu ya Tanganyika irudi.

Kwa vile Watanganyika ndio tunachangia kila kitu cha muungano ni dhahiri hatutakubali tuwagharimie wazanzibari kuja kula kuku bure huku Tanganyika wakati hawana mchango wowote hapa kwenye serikali ya muungano.
Na mbaya zaidi itabidi hao wazanzibari sasa warudi makwao, nchini Zanzibar!

Hicho ndio kiini cha panic ya kina Shivji, na si kwamba wanaupenda muungano, wnatunyonya waTanganyika!!
Mkuu katiba hii mpya ya Zanzibar huyu Mhindi aliitetea kwa kumlaumu mh Tundu Lisu eti anapotosha umma. Hivi huko India mfumo wao wa serikali upo vipi?
 
Tatizo la Watanzania tulio wengi ni UVIVU wa KUSOMA, Joseph Mihangwa katika makala zake za 'Nasaha za Mihangwa' gazeti la Raia Mwema kazungumzia historia ya muungano wetu mara kwa mara lakini kwa kuwa tunapenda kuamini mtu AKIZUNGUMZACHO japo ni cha kijinga tunamuona wa maana sana. TUBADILIKE kwa kusema mfalme hajavaa nguo hapa.
 
Hebu tukumbushane historia, Waarabu na Wahindi wanajulikana miaka waliyoingia Zanzibar sasa Mwafrika wa kwanza kukanyaga huku alifika mwaka gani?
 
Nguli wa sheria afrika Prof. Issa Shivji amesema kuunda serikali tatu hapa tz ni kuvunja muungano. Amesema si wakati muafaka sasa kulumbana kuhusu idadi ya serikali bali tulumbane kuhusu maendeleo ya nchi.

Amesema tunahitaji katiba mpya haraka lakini tuwe makini na baadhi ya mapendekezo yaliyopo kwenye rasimu ya katiba iliyotolewa hivi karibuni.

Source: taarifa za habari ktk vituo vya radio na television na magazeti mbalimbali hapa nchini pamoja mitandao ya kijamii
Kwenye mhadhara wake siku chache zilizopita, kaelezea kidogo muundo mbadala ambao yeye binafsi angependekeza. bahati mbaya hakuna maelezo ya kutosha. Lakini kwa kifupi bado anapendekeza serikali mbili lakini kuwe na mabunge mawili. Moja kama hili la sasa na linguine dogo kama la watu 30 hivi. Hili la pili linaweza kuwa kama baraza la senate vile. Wasiwasi wangu ni kwamba madai ya Wa Zanzibar katika huo muundo wake yatapatiwa ufumbuzi? Hilo la kwanza. La pili bado serikali ya muungano itaendelea kubeba majukukmu ya Tanganyika? Kama vile Mtwara wanvyosema haitoki, Tanganyika haikwepeki!!
 
msibabaike na u-prof wake, huyu mzee akili imeesha zeeka na imechoka vya kutosha.Na naungana na mdau hapo juu Huyu shivji hofu yake anahisi atatimuliwa arudi huko zanzibar kwenye nchi ya taabu isiyo kuwa na mbele wala nyuma ndo maana anatetea muungano.... We Tanganyikanses we don't want it. tunataka Tanganyika yetu mkafe huko na njaa zenu.. mtakula mabofro na urojo na mchele wa mapembe mpaka mkome.Nyie muigeni huyo juha wenu Jusa na Maalim hamjui kama wamepandikizwa na waarabu.
 
Back
Top Bottom