Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Tatizo watu walikua hawapendi chemistry form 2 tulipokua tunafundishwa ku balance chemical equations. Wakajua application zake ni maabara tu wasijue hata kushobola inabid ujue ku balanceKUBALANCE SHOBO NI MUHIMU SANA
Hiyo ni Shobo kweli Utasemaje Kiboya Angekusubilia wewe upite Ndo aanze kula , Dada amekula akakumbuka matundaNimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia βugali huo utashiba?β Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyoππ
SanaKUBALANCE SHOBO NI MUHIMU SANA
Kuna wadada tu huwa hawapendi mazoea ya ajabu ajabu na watu wasio wajua, sio issue ya sponsorKama sponsor wake alikua karibu ilikua lazima akukaushie, ulikua unaleta utani na kazi yake
Mwamba naona umerudi kwenye nafasi yako.... Comment ya kwanzaKUBALANCE SHOBO NI MUHIMU SANA
Kuna maana kubwa Sana hapaBro ongeza bidii kutafuta hela na ujipende
Ungesema kwa sauti dada umejamba halafu nakuuliza kwa nini umejamba hadharani halafu hutaki kunijibu