Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

Zamani nyumbani kwetu kulikuwa na kisaluni na benchi la masela kupiga stori.Sasa kuna kisista duu siku hiyo kikapita tuko kama mtu 6 .Kila mtu kinamsalimia kwa kuhug na kukiss kufika kwangu kikaniruka.Kismart cha mbwa koko.
 
Hiyo ni Shobo kweli Utasemaje Kiboya Angekusubilia wewe upite Ndo aanze kula , Dada amekula akakumbuka matunda
 
kuna mdada tunajuana, ila huwa ananata sana basi siku nilimuona sehemu nikajifanya kama sijamuona vile, akaja kumwambia ndugu yangu mbona fulan ana dharau sana, yaani kaniona sehemu hata salamu hakuna, yule ndugu akamwambia kwan ww ulikuwa bubu wakat huo ukashindwa kumsemesha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…