Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

Kuna watu hamjitafakarigi before unaweza kuta una kitambi au umekondeana sana, hukuwa umevaa vizuri, hukuwa umenyoa vizuri, hukuwa unanukia vizuri, hukua na swagga, hukuwa na sauti nzuri, hukuwa na muonekano wa kiheshimiwa yaani kiufupi hukuwa na mbele wala nyuma.... Hapo tatizo linaweza kuwa sio shobo bali Ulionekana kama uliedata blaza 😁😁😁... Msiishiege kulaumu hawa warembo wangu wakati sometimes mnafeligi wenyewe
 
Kwanzia leo jifunze nidhamu hizi chache za kuongea ili uwe gentlemen

1. Ongea pale tu inapohitajika uongee, epuka kuongea sana ili ukiongea watu wazingatie unaongea nini
2. Salimia kwa sauti inayosikikia na usipojibiwa kaa kimya usilazimishe salam endelea na shughuli zako.
3.Mtu akikufata kukusimia kwa kukupa mkono usimpe mkono ukiwa umekaa chini simama kwanza shakehand ukiwa umesimama.
4. Ukiongea na mtu hakikisha unamuangalia machoni haijalishi yeye ni nani.
5. Ukiulizwa swali usikimbilie kuropoka kujibu hata kama unajua anachouliza tulia sekunde 3 ndo ujibu.
 
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.

Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.

Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.

Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.

Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.

Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.

Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Aisee
 
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.

Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.

Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.

Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.

Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.

Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.

Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo[emoji119][emoji119]
Sasa utajlizaje swali la kijinga hv eti utashiba kwani akishiba au asiposhiba ww inakuhusu nn?
 
Back
Top Bottom