Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

Huo mkasa ukoje aisee
Sikumbuki vzr ila alikwenda kwenye Kongamano la dunia ambalo Mgeni rasmi alikuwa ni Bill Gate. Wakiwa bado wako nje ya Ukumbi Bill Gate alipita akiwa kavaa Jeans na shati (casual) akamsalimia ila Madam Ritta alimtazama tu kwa dharau na hakupokea salamu ya bilionea huyo.
Nadhani Madam Ritta mwenyewe ali-tweet huku akijutia kutopokea salamu ya Bilionea huyo eti akijitetea ya kuwa hakumtambua sababu alivaa casual. Kwa walio na tweet hiyo wanaweza kutuwekea hapa.
 
Sikumbuki vzr ila alikwenda kwenye Kongamano la dunia ambalo Mgeni rasmi alikuwa ni Bill Gate. Wakiwa bado wako nje ya Ukumbi Bill Gate alipita akiwa kavaa Jeans na shati (casual) akamsalimia ila Madam Ritta alimtazama tu kwa dharau na hakupokea salamu ya bilionea huyo.
Nadhani Madam Ritta mwenyewe ali-tweet huku akijutia kutopokea salamu ya Bilionea huyo eti akijitetea ya kuwa hakumtambua sababu alivaa casual. Kwa walio na tweet hiyo wanaweza kutuwekea hapa.
Basi madam Hana akili naye Kwa kudharau mtu

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Binti kafanya vizuri sana.... haiwezekani hata hujasalimia unarukia kuuliza kama nitashiba?
 
Sema maisha ya naenda kasi sana
unaweza kukuta hata akili yake haipo hapo
 
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.

Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.

Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.

Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.

Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.

Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.

Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌

ULITAKA MAZOEA NA WATU WASIOPENDA MAZOEA. YEYE KUSHIBA AU KUTOSHIBA KWAKE KUNAKUHUSU NINI? UMEJIFUNZA IN A HARD WAY
 
Punguza shobo na kutaka kumfahamu kila mtu, ingekuwa mi ulivyokuja kunishika ningekusindikiza na kerbu mxiewwww!!! Huna adabu
Watu wako na mambo zao kichwani ww na genye zako unaleta mazoea ya kijinga
 
Umenikumbasha mbali Sana...wakati tunasoma nikiwa kidato Cha nne,nakumbuka Kuna Binti alikuwa msomali..yule manzi alikuwa ni pisi haswa..sasa sikujua ilikuwaje siku Ile ...tulikuwa tumetoka likizo Sasa Ile wanafunzi tumekutana shule zishafunguliwa...bhasi Ile tumeonana tu alikuja spidi kunikumbatia Hadi nilipatwa na mshangao Yani mapigo ya moyo yalienda kasi Sana .[emoji3]nilikosa nguvu ya kumkumbatia kwakweli na ilikuwa suprise ya hatri mbele za washkaji kibao
 
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.

Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.

Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.

Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.

Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.

Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.

Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Mind your business.

Kama hatashiba wewe tatizo lako nini?
 
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.

Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.

Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.

Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.

Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.

Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.

Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Mademu wapumbavu sana. Nilipotea njia siku moja nikakutana na demu, nikawa nakazana kumsimamisha ili anielekeze njia, nikawa namwita kweli lakini kanilia buyu tu. Kumbe kwa akili zake ndogo alijua nataka kumtongoza, majinga kweli haya.
 
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.

Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.

Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.

Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.

Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.

Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.

Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Ulikosea line, ilibidi umuanzie na I love you na nina iPhone 15 ya kukupa bure. Mademu wa Kikongo ni wachovu mno, wanaishi maisha ya maigizo sana.
 
Mademu wapumbavu sana. Nilipotea njia siku moja nikakutana na demu, nikawa nakazana kumsimamisha ili anielekeze njia, nikawa namwita kweli lakini kanilia buyu tu. Kumbe kwa akili zake ndogo alijua nataka kumtongoza, majinga kweli haya.
Na hapo ungemtongoza tu angekuambia ana miezi kadhaa hajala na pia anadaiwa pango la nyumba yake ya miaka 2.
 
Back
Top Bottom