Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

Miaka kama mi3 iliyopita maeneo ya mwenge nilikutana na classmate wa shule ya msingi wa miaka karibu 20 iliyopita nikamkumbuka maana tulikuwa tunakaa dawati moja alafu washikaji nikamsalimia naona jamaa anaitikia kama vile amenisahau ikabidi nimuulize unanikumbuka Mzee? Akanijibu "nakukumbuka ndio maana nimekuitikia" alafu huyoo akajikataa zake daah nilijisikia vibaya sana siku nzima ikawa mbaya kwangu.
Emotional damage, acha shobo ukiwa mjini
 
kwa mtu asie na haya haoni noma ila kama mm huwaga sipendi kushobokea mademu mazingira yenye watu anaweza akakupa kauli ukajikuta mwezi mzjma huna hamu na kutongoza
Ni kweli, vingine vina bunduki kwenye ndimi.

Kakikufumua nayo hunyenyuki!

Huwa najiuliza kwenye tukio, hiki kibinti, matusi mfululizo pamoja na maneno ya shobo, huwa kashayafanyia mazoezi!

Mbona kila akiyatamka anapatia?
 
No way, am married to a beautiful wife, nilikua tu najaribu kua social, but i learned it in a hard way. Kuanzia sasa ni mikausho tu
KE wengi huwa ni watu wa dharau sana hasa kwa watu wasio wajua na mara nyingi wanam-judge mtu kwa physical appearance yake. Hii imenikumbusha mkasa wa Madam Ritta wa Bongo star search na Bill Gate.
 
KE wengi huwa ni watu wa dharau sana hasa kwa watu wasio wajua na mara nyingi wanam-judge mtu kwa physical appearance yake. Hii imenikumbusha mkasa wa Madam Ritta wa Bongo star search na Bill Gate.
Na dharau zao zinauma sana
 
KE wengi huwa ni watu wa dharau sana hasa kwa watu wasio wajua na mara nyingi wanam-judge mtu kwa physical appearance yake. Hii imenikumbusha mkasa wa Madam Ritta wa Bongo star search na Bill Gate.
Huo mkasa ukoje aisee
 
KE wengi huwa ni watu wa dharau sana hasa kwa watu wasio wajua na mara nyingi wanam-judge mtu kwa physical appearance yake. Hii imenikumbusha mkasa wa Madam Ritta wa Bongo star search na Bill Gate.
Ilikuaje hii mzee?
 
Nakumbuka siku moja mahala flan nlimsalimia mams moja
mimi : Mamboo
yeye:...
yeye:.,.
mimi: Mambo badooo ayaa yaaa mambo bado Tanzania mambo bado chege chigunda mambo badooo ayaa ayaaa
 
Swala hapo sio kutafuta hela, kujipenda wala chochote. Kinachomsumbua ni akili yake kuchukulia uzito jambo la kupuuzwa. Kumuongelesha mtu akakuchunia iwe unamjua au humjui sio jambo linalopaswa kukuumiza mpaka kufikia kuandika uzi hapa. Abadilishe akili yake.
....haiwi poa kwanini sasa akunyamzie na umemsemesha vizuri tu.
 
Swala hapo sio kutafuta hela, kujipenda wala chochote. Kinachomsumbua ni akili yake kuchukulia uzito jambo la kupuuzwa. Kumuongelesha mtu akakuchunia iwe unamjua au humjui sio jambo linalopaswa kukuumiza mpaka kufikia kuandika uzi hapa. Abadilishe akili yake.
Inaonekana we huna mshipa wa aibu, hoyo experience ni mbaya
 
Back
Top Bottom