Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

Mtu humjuwi mwanzo wala mwisho unaenda kumuingilia namna yake ya kula.

Ujinga huo.
 
Sasa wewe mbona hapa ndo umeshobokewa, aibu iko wapi?
 
hapo kwenye kuangalia machoni huwa naghairi sometimes maan hili lisura lang lilivo baya mtu anaweza zimia kabisa...nataka nishindanie mashindano ya sura mbaya kama yapo nishtuen
 
Mademu wapumbavu sana. Nilipotea njia siku moja nikakutana na demu, nikawa nakazana kumsimamisha ili anielekeze njia, nikawa namwita kweli lakini kanilia buyu tu. Kumbe kwa akili zake ndogo alijua nataka kumtongoza, majinga kweli haya.
Usiite mtu mpumbavu bila kujua alikua anapitia maswaibu gani hata asikusikilize. Kama utaona mtu haelekei kukusikiliza ni vema umuache hutapungukiwa chochote mana si lazima akusikilize.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta creed Aventura

Ambition.

Hivi vitu ukinukia vizuri halafu ukiongeza na shobo

Zinakuwa shobo dundo. [emoji2]Mbona watakuitikia na goti kabisa.

Tatizo unapulizia deodorant za buku 6 zinanukia kama dawa za mbu
 
Wapi wewe ulikua unamtaka, kwani yeye kula ugali mdogo inakuhusu nini
Kua na shobo haimaanishi mtu unamtaka, she wasn’t even that beautiful, she couldn’t make it in my dating pool at all.
Mlugaluga wewe
 
Tafuta creed Aventura

Ambition.

Hivi vitu ukinukia vizuri halafu ukiongeza na shobo

Zinakuwa shobo dundo. [emoji2]Mbona watakuitikia na goti kabisa.

Tatizo unapulizia deodorant za buku 6 zinanukia kama dawa za mbu
Hiyo ni kwa wanaonuka jasho
 
Chai
 
Hiyo ni aina nyingine ya salamu mkuu huyo mwanamke hajitambui na zaidi sana ako na majivuno kupindukia hivyo wala asikupe shida..
 
Katika mambo niliyojifunza mapema sana nikiwa bado kijana mdogo ni kuwa na mipaka na kufanya kama siwaoni hasa hawa wadada wa mjini.
Wengi wana matatizo ya akili na ukijifanya kuwa mtu mwema au social kwake yeye anakuona kama unajipendekeza hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…