Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaaaaaaaNimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu nisiowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Angalia labda hajapendezwa na geto lako, au kwenye mambo ya romantic kaona uko hovyoWiki mbili zilizopita kuna dem tulitokea kuzoeana sana ndani ya mda mfupi, nilimtongoza akanikatalia baadae akaanza kuleta shobo cm nying text za kutosha akili yngu ikasema uyu ameshajaa
Akaomba aje kunitembelea geto kwangu kabla hajaondoka kwenda chuo nkamwambia sawa hain shida, bas mtoto alikuja geto jion flan hv baad ya stor kdg nkaanza uchokozi na alinionesha ushirikiano wa kutosha nkajua Leo nakula tunda kimasihara alilainika sana Lakin alikaza kutoa mbunye.
Baad y mda nkamsindikiza akaondoka asee baad ya kutoka na kuondoka akuwai kunitafuta tena na nilipojaribu kumtafuta kwa sms na calls ushirikiano ulikua mdg baad ya kam ckumbili alinitext niache kumtafuta niendelee na mambo yangu, nilipojaribu kumuuliza kwanin aliniambia haoni connection yeyote kati yngu na yeye so it's doesn't work nimuache tu kuanzia sasa
imenifikirisha sana na kukosa amani ndani ya siku kadhaa mpak sas cjajua ni wap nilipokosea....
Mapenzi na geto vinahusiana vp mkuuAngalia labda hajapendezwa na geto lako, au kwenye mambo ya romantic kaona uko hovyo
Kama shuka zinanuka na uko ki local unataka afanyeje?Mapenzi na geto vinahusiana vp mkuu
Alikuja kuSCAN geto kuona kama umejipata,hujafika viwango alivyotarajiaWiki mbili zilizopita kuna dem tulitokea kuzoeana sana ndani ya mda mfupi, nilimtongoza akanikatalia baadae akaanza kuleta shobo cm nying text za kutosha akili yngu ikasema uyu ameshajaa
Akaomba aje kunitembelea geto kwangu kabla hajaondoka kwenda chuo nkamwambia sawa hain shida, bas mtoto alikuja geto jion flan hv baad ya stor kdg nkaanza uchokozi na alinionesha ushirikiano wa kutosha nkajua Leo nakula tunda kimasihara alilainika sana Lakin alikaza kutoa mbunye.
Baad y mda nkamsindikiza akaondoka asee baad ya kutoka na kuondoka akuwai kunitafuta tena na nilipojaribu kumtafuta kwa sms na calls ushirikiano ulikua mdg baad ya kam ckumbili alinitext niache kumtafuta niendelee na mambo yangu, nilipojaribu kumuuliza kwanin aliniambia haoni connection yeyote kati yngu na yeye so it's doesn't work nimuache tu kuanzia sasa
imenifikirisha sana na kukosa amani ndani ya siku kadhaa mpak sas cjajua ni wap nilipokosea....
Jamaako nimemwambia anadai hakuna uhusiano wa geto lake na mapenzi, anaonekana bado mgeni na wanawake au maisha kiujumlaAlikuja kuSCAN geto kuona kama umejipata,hujafika viwango alivyotarajia
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Huyo yote ni kwasababu huna helaNimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu nisiowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Uenda ikawa ivyo ila poa tu angalau niliambua kumchezea, ila wanawake bhana ni viumbe wa ajabu sana sasa geto langu yeye litamsaidia nn naweza geto nikawa kawaida lkn mfukoni kukawa vzuri kikubwa yey si aangalie mahitaji yake auAlikuja kuSCAN geto kuona kama umejipata,hujafika viwango alivyotarajia
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
HahahaNimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu nisiowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
HahahaUmejifunza vema Kuna mwamba alikwepwa wakati anataka kumkumbatia classmate wake wa chuo(msichana) mbona aliendelea na safari huku akipewa jicho la "huyu vipi!?"