Shock: Hospitali ya Kairuki yakataa wagonjwa wa ugonjwa wa mifumo ya hewa kijanja, yaweka bei isiyowezekanika kwa Watanzania wengi

Shock: Hospitali ya Kairuki yakataa wagonjwa wa ugonjwa wa mifumo ya hewa kijanja, yaweka bei isiyowezekanika kwa Watanzania wengi

Agha Khan, kuna ndugu yangu alilazwa ICU kwa tatizo la Covid 19, kuingizwa tu ICU TZS 6m. Hiyo ndiyo advance payment.

Hizi hospitali zimenunua Respiratory machines kwa gharama kubwa. Serikali walipewa mabilioni ya pesa na taasisi za kimataifa, badala ya kununua vifaatiba, wakapeleka kwenye uchaguzi na kisha kuwadanganya wajinga kuwa eti uchaguzi wa safati hii tumegharamia wenyewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Korona ikishaingia kwenye mapafu Nyungu haisaidii.

Sasa Familia nzima ikichapwa na Korona halafu muwe na shida ya Oxygen muambiwe huduma ni laki nane na nusu per day kwa mtu mmoja na huduma inachukua wiki nzima.

Yaani mnapoteza familia hivihivi huku mnajiona!

Badala ya kuona hili jambo ni la kawaida (soko huria), Wafikirieni wenzenu ambao changamoto ya kupumua imeshika members wa familia let say watano kwa mkupuo!
Si uende Muhimbili, Bugando, vituo vya afya etc? Kairuki wataenda wenye hizo fedha...
 
Hata kama zingekuwa zimejengwa mamilioni ya hospitali, mfumo wa afya Tanzania upo regulated na serikali. Huduma ya afya si biashara huria kwamba wajipangie bei wanazotaka wao.
Kwa hiyo pale Agakhan huduma zake costs ni sawa na Mwananyamala au Amana siyo??
 
Hiyo $100 ni tozo ya matibabu? Usichanganye vitu hapa. $100 ni tozo ya vipimo kwa mtu anayehitaji kusafiri kwenda sehemu ambayo wanahitaji certificate ya COVID 19, ni kama ilivyo kwa homa ya manjano. Suala la Kairuki ni tozo ya matibabu, tozo kwa mtu anayeumwa anayehitaji huduma ili apone.
Kama mtu anaweza kulipishwa dola 100 kwa nini asilipe milioni huko Kairuki??
 
Missile of the Nation, si unafahamu ukitaka kusafiri nje ya nchi unatakiwa kwenda kupima korona kwenye maabara ya serikali na gharama ya vipimo ni zaidi ya sh 200K?! Sasa jiulize: Ikiwa kupima tu, tena kwenye maabara za serikali tunaambiwa kulipa zaidi ya 200K; seuze kutibiwa tena hospitali binafsi!!!
 
safi sana kmmmmmmmk, Jiwe kamwaga mboga, Kairuki anamwaga ugali
 
Hivi Mkurugenzi wa hiyo hospitali ni nani?

Hawa watakua ni wafanyabiashara tena wasiojua maana ya kuwa taasisi inayotoa huduma ya afya. Sijawahi kuona hospitali kukataa wagonjwa kwa sababu yoyote ile.

Halafu shida ya mfumo wa upumuaji sio lazima iwe corona, inaweza kuwa hata blood pressure au tatizo lingine
Kama wanaotibu kwa 600K wanafanya biashara, na vipi serikali inayotoza 230K kwa kupima tu?!
 
Niko kwenye hilo hiti na mamyako.... na sijui mlikua mnaongea nini hadi akakuhadithia mambo ya wanawake? Mfyuuu

Kuna tofauti kati ya biashara ya kuuza beer na kutoa huduma ya afya. Kama hujui sheria na miongozo ya watoa huduma za afya usikurupuke, tulia weweeee

Wacha regulators waongee
😂😂😂 kakutibua...
 
Back
Top Bottom