Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Siku hizi sina mood ya kugombana kabisaaa..!! Nishachoka battle zote naibukaga mshindi, nawaachia underground
Bado hujagombana na mabakuli nione mtanange wa vumbi kutifuka dadeki zenyu
 
Usi nihusihe na vitu vya ajabu mkuu, ain't part of this shit madam.
Yaishe tusome comments bac mwenzio sina vibe kabisaaa la kubishana..!!
Sijui nimeanza kukua ss hivi, yani ile mizuka km ya zamani haipo kabisa.!!

Au ww unaonaje?? 🀣🀣🀣
 
Yaishe tusome comments bac mwenzio sina vibe kabisaaa la kubishana..!!
Sijui nimeanza kukua ss hivi, yani ile mizuka km ya zamani haipo kabisa.!!

Au ww unaonaje?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msinichekeshee hapa sahivi, khaaaah
 
Yaishe tusome comments bac mwenzio sina vibe kabisaaa la kubishana..!!
Sijui nimeanza kukua ss hivi, yani ile mizuka km ya zamani haipo kabisa.!!

Au ww unaonaje?? 🀣🀣🀣
Gombaneni vumbi litibukee dadeki zenyuuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.
Udugu ss hivi nimekuwa mvivu kweli tena!! Jana kuna mwingine aliibuka na mikwara kibao utasema drone za Iran muda wowote zinatua mwilini mwangu 🀣🀣🀣🀣
Chaajabu nikabaki namshangaa nikaona naye anatafuta kurudi mjini kwa kiki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msinichekeshee hapa sahivi, khaaaah
ivi mbona mie siwezagi kugombana najikuta nacheka tu mpaka adui anakata tamaa na kuzimia 😹😹😹😹😹
 
Udugu ss hivi nimekuwa mvivu kweli tena!! Jana kuna mwingine aliibuka na mikwara kibao utasema drone za Iran muda wowote zinatua mwilini mwangu 🀣🀣🀣🀣
Chaajabu nikabaki namshangaa nikaona naye anatafuta kurudi mjini kwa kiki
mngegombana nije niokote vipande vya magego yaliyomeguka 😹😹
 
mngegombana nije niokote vipande vya magego yaliyomeguka 😹😹
Wizo ss hivi naona nistaafu ugomvi nimechoka we mtu gani mimi kila battle nakuwa mshindi 🀣🀣🀣🀣

Ss hivi nasoma comments nacheka nasahau marejesho
 
Wizo ss hivi naona nistaafu ugomvi nimechoka we mtu gani mimi kila battle nakuwa mshindi 🀣🀣🀣🀣

Ss hivi nasoma comments nacheka nasahau marejesho
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…