wise samura
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 515
- 297
Kile ni chakula hakihusiani kabisa na hii threadHivi kweli unashiriki tamasha la chips yai....Halafu unajiita kidume ndo madhara yake haya..
Mkuu hao wamekariri huo msemo ili wapate sifa, hata mimi nakereka sana na msemo huoHii kauli inanikera sana sio kila mwanaume wanaokaa dar chips zege
We mwana weee huko uani is for defacation and sometimes for colonoscopy not for bamia penetration. Unaonekana hii tabia umejifunza you weren't born that way. Kumbuka Mugabe said " Hata shetani hakuwa shoga ndio kisa pale Eden alimtaka Naked Eva not naked Adam. Kumbuka pia shoga si Genetics because Mashoga perse hawazai.
Vanessa Mdee ana ushindani mkali katika himaya yake ya mapenzi na Jux. Ushindani huo si kutoka kwa msichana mwenzake, bali kutoka kwa shoga maarufu Instagram, James Delicious.
Punga huyo amepania kumpokonya Vee Money tonge mdomoni. Pamoja na kuambulia mvua ya matusi kutoka kwa watanzania wanaokerwa na tabia yake hiyo, James haoneshi kujali.
“Mi mwenzenuuu.. Natabia mojaa.. Nikimpenda mtu lazmaa nimpateee. So wala msihangaikee. Kunihukumuuu… et dhambi. Dhambi mmeona hiii tuu eeh.. Veepe wale wanao dhin. ???? Veepe wale wanao uwaa??? Veepe wale wanao bakaa??? Veepe walee wanao sagana?? Veepe walee wanao salit ndoa zao??? Veepe wale wanao logaa..??? Veepe wale wano jiuzaa..????,” ameandika kwenye picha aliyoiunganisha na ya jux.
“Zambi zipo nyingi saana.. So wala msizanii kama hayo manneno yeeenu. Yanaweza kunivunja. Moyo. Ya sari yangu nnayoianza. Ya kumuwekaa kwenye himaya yangu. Huyu ninae mtakaa.. Nampeeenda mpaka najiihis kizungu zungu.. Tukana n kublock… ngoja ramadhan iishe,” ameongeza.
Source: Bongo 5
Haa haa haa ha mpaka akatapka huyo dada kweli aliyaogaKinondoni pale mtaa wa Wibu shoga mmoja alikuwa anaitwa aunt Alli alimtukana dada wa watu mpaka akatapika
Huko Instagram mnawafata kufanya nini?Sasa hivi hawa vijana wadogo kabisa hawaogopi kitu wenyewe wanafanya huu ujinga wanaona sawa tu sijui kwasababu ya utandawazi na hata ukisema uwashauri hawa kuelewi zaidi utaambulia matusi mazito sasa ni bora kuwaangalia tu Jana nimepita kwenye page mojo huko IG nimekutana na picha ya kijana Mdogo wa kiume kaanza kupiga picha akiwa mtupu na kuzipost watu wazione kwa kweli inashangaza sanahuyo kijana Mdogo amepiga picha hivyo na kuipost na hata ukienda kwenye page yake unakutana na picha zenye mapozi tata
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kikopo chake cha kuogea lol,.c angeenda bafu lenye "bomba la mvua" ili picha inogee...Sasa hivi hawa vijana wadogo kabisa hawaogopi kitu wenyewe wanafanya huu ujinga wanaona sawa tu sijui kwasababu ya utandawazi na hata ukisema uwashauri hawa kuelewi zaidi utaambulia matusi mazito sasa ni bora kuwaangalia tu Jana nimepita kwenye page mojo huko IG nimekutana na picha ya kijana Mdogo wa kiume kaanza kupiga picha akiwa mtupu na kuzipost watu wazione kwa kweli inashangaza sanahuyo kijana Mdogo amepiga picha hivyo na kuipost na hata ukienda kwenye page yake unakutana na picha zenye mapozi tata
Mkuu hata ukiwa bingwa wa kutukana ila ukikutana na choko huchomoki.Anaweza kukutukana mpaka ukaumwa kichwa.Kama kuna watu wana shobo za kukera hasa basi mashoga wanaongoza....wale binadamu wanajua kuongea nyoko wale...
Chineeke this is abomination [emoji43] [emoji43] [emoji43] [emoji43] [emoji43] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji86] [emoji86]
Vanessa Mdee ana ushindani mkali katika himaya yake ya mapenzi na Jux. Ushindani huo si kutoka kwa msichana mwenzake, bali kutoka kwa shoga maarufu Instagram, James Delicious.
Punga huyo amepania kumpokonya Vee Money tonge mdomoni. Pamoja na kuambulia mvua ya matusi kutoka kwa watanzania wanaokerwa na tabia yake hiyo, James haoneshi kujali.
“Mi mwenzenuuu.. Natabia mojaa.. Nikimpenda mtu lazmaa nimpateee. So wala msihangaikee. Kunihukumuuu… et dhambi. Dhambi mmeona hiii tuu eeh.. Veepe wale wanao dhin. ???? Veepe wale wanao uwaa??? Veepe wale wanao bakaa??? Veepe walee wanao sagana?? Veepe walee wanao salit ndoa zao??? Veepe wale wanao logaa..??? Veepe wale wano jiuzaa..????,” ameandika kwenye picha aliyoiunganisha na ya jux.
“Zambi zipo nyingi saana.. So wala msizanii kama hayo manneno yeeenu. Yanaweza kunivunja. Moyo. Ya sari yangu nnayoianza. Ya kumuwekaa kwenye himaya yangu. Huyu ninae mtakaa.. Nampeeenda mpaka najiihis kizungu zungu.. Tukana n kublock… ngoja ramadhan iishe,” ameongeza.
Source: Bongo 5