Shoga maarufu mjini Dar apania kumpokonya Jux kutoka kwa Vanessa Mdee

Shoga maarufu mjini Dar apania kumpokonya Jux kutoka kwa Vanessa Mdee

kuna watu wana bahati bhana...hiyo bahati ya Jux ningepata mimi siku nyingi tu ningekuwa nishamalizana nae hata kwenye udaku isingefika
 
Dah sina cha kusema,hivi kweli dunia ndio imefikia hapo!
 
Dawa ya majitu Kama haya ni kukamata kimya kimya na kupeleka gerezani yakaendeleze uchafu huko..yanajitangaza yataharibu jamii yetu
 
Watu wenye bad face ndivo walivyo,, ila jarbu kumshukuru mungu kwa hicho hicho ulichonacho (Natania mkuu)



Bad face ndo nini kuwa na jicho moja?? Au kuwa na pumbu usoni??

Wote tu sawa tena nina uhakika Mimi ni shababi kuliko wewe

Huwa sijilambi midomo
Sina mapozi ambayo wewe unayaita swaga
Sinyoi nywele ndivyo sivyo

Endelea na mapozi siku ukipakatwa ndo utajua nini maana ya kuwa kiume
 
Mungu muumba wa Mbingu na ardhi na vyote vilivyomo... tunakuomba utuondolee najisi hii ktk ardhi.
 
Bad face ndo nini kuwa na jicho moja?? Au kuwa na pumbu usoni??

Wote tu sawa tena nina uhakika Mimi ni shababi kuliko wewe

Huwa sijilambi midomo
Sina mapozi ambayo wewe unayaita swaga
Sinyoi nywele ndivyo sivyo

Endelea na mapozi siku ukipakatwa ndo utajua nini maana ya kuwa kiume
Inawezekana wewe sio mtanzania, hv ndo tuseme huelewi maana ya neno (Natania) staki kuamin du!!!
 
mshana u have a case to answer ! Haaa umejuaje kama badoo wapo? Wazungu wanasema It takes one to know one! Njoo ujiteteee!
 
Back
Top Bottom