yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Hayo maneno yako hayana ukwel wwte mkuu
Wewe unalamba midomo nini
Endelea tuu siku utakapo pakatwa ndo utajua kuwa hutakiwi kulamba lamba midomo yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maneno yako hayana ukwel wwte mkuu
Wadada ndi rafiki zao wakubwa na wanaowapa chati. Huwa naudhika sana.
Mtaan kwetu hapo studio wanaharibiwajeMkuu kinondoni yote imechafuka aisee.
Kuna mitaa inaitwa kwao TID karibu na kituo cha Studio pale, yaani ni aibu.
Watoto wanaharibiwa sana pale tena mchana mchana.
astghfirullah astghfirullah astghfirullahAstaghfirullah!
Astaghfirullah!
Astaghfirullah!
Duuuuu hiyo noma sana hahahahaKinondoni pale mtaa wa Wibu shoga mmoja alikuwa anaitwa aunt Alli alimtukana dada wa watu mpaka akatapika
Haka katoto kalitoa historia yake kamelelewa na mama tu Baba yake alikakataa watoto weng ambao hawana malez ya baba wanakuwa kindezndez sana
Duh!Makubwa!Kinondoni pale mtaa wa Wibu shoga mmoja alikuwa anaitwa aunt Alli alimtukana dada wa watu mpaka akatapika
Duuuuuuuu bs sijui tumlaumu nan?Mbona yule rio paul kalelewa na baba tu na ni choko maarufu?
mshana jr hii ni kweli?hahh hahhaaKinondoni pale mtaa wa Wibu shoga mmoja alikuwa anaitwa aunt Alli alimtukana dada wa watu mpaka akatapika
Unaweza ukadhani story lakini yule shoga alitema mbovu mpaka dada ikabidi akae kimya tulii na baada ya muda akaanza kutapika huku akisindikizwa na bonge la msonyo huku akiambiwa na bado kuharisha....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mshana jr hii ni kweli?hahh hahhaa
Yani wanachefua kaka cpati kusema!Kama kuna watu wana shobo za kukera hasa basi mashoga wanaongoza....wale binadamu wanajua kuongea nyoko wale...