mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
- Thread starter
- #41
Kwani huko kwenu NBC premier league inqoneshwa chanel10??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huko kwenu NBC premier league inqoneshwa chanel10??
Huu Uzi uliandikwa mapema mnooIlikua kati ya Mayele na Kagere nani hatari kuliko mwenzake.
Ikaja battle ya kibu Denis Vs Mayele.
Sasa ni battle ya Kapombe na Djuma Shabaan..
Sijui mnatumia criteria gani kumtambua nani bora kuliko mwenzie..
'Eneweiiii' ngoja tule mtori kwanza nyama zipo chini..
interest ya nini kura ni za wazitatzo mkuu haujadeclare interest
kwani kuura ndio zinacheza? au bs idadi ya kura zenu muongezee kwenye point zenu maana gepu linasasoma pwoint 8.interest ya nini kura ni za wazi
Naona bwana mdogo kibwana shomari amepata mwalimu sahihi ndio maana anajituma sio kama kala kakilaza israel patrik simba walipgwa na kitu kizito.Hakuna full back wa kulia kwenye ligi ya NBC wa kulinganisha na Djuma, jamaa ana uwezo mwingi sana
huo uwezo anaonyesha uvunguni?Hakuna full back wa kulia kwenye ligi ya NBC wa kulinganisha na Djuma, jamaa ana uwezo mwingi sana
Makolo wanachezewa sana akiliNaona bwana mdogo kibwana shomari amepata mwalimu sahihi ndio maana anajituma sio kama kala kakilaza israel patrik simba walipgwa na kitu kizito.
Juma Shaban ana goli moja na assist tatu,tutajie mwingine anayemkaribiahuo uwezo anaonyesha uvunguni?
tulikubaliana kwa maumiv yote hakuna kutukana mtandaoni