Shonza: Maafisa wa maendeleo ya Jamii siku hizi wamekuwa Maafisa mikopo. Kumekuwa na kesi nyingi za Ubakaji na Ulawiti wa Watoto

Shonza: Maafisa wa maendeleo ya Jamii siku hizi wamekuwa Maafisa mikopo. Kumekuwa na kesi nyingi za Ubakaji na Ulawiti wa Watoto

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Mbunge wa Viti Maalum, Juliana Shonza, amesema kumekuwa na kesi nyingi za Ubakaji na Ulawiti wa Watoto katika Jamii lakini Maafisa waliopewa kazi ya kutatua changamoto hizo hawafanyi majukumu yao

Amesema kumekuwa na kesi nyingi za matukio ya Unyanyasaji lakini nyingi zinaishia kwenye Jamii bila Haki kupatikana huku akitolea mfano wa tukio la Iringa ambako Mtoto alibakwa na Mzazi wake na kuambukizwa UKIMWI lakini hakuna chochote kilichofanyika

Aidha, ameongeza kuwa Serikali inatoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo lakini miradi hiyo inakwama kutokana na Wananchi husika kutoshirikishwa kikamilifu katika uendeshaji wa miradi husika.

 
Hivi ni maendeleo ya jamii au ustawi wa jamii.

Either way hakuna afisa wa maendeleo ya jamii, bali maafisa wa ustawi wa jamii.

Ustawi wa jamii (social services), hawana uhusiano na mambo ya miradi, wala bima za afya.

On the serious note katika issue za msingi alizoongelea za ulinzi wa watoto hiyo aspect ya wizara ya afya na yenyewe ni very technical ata Dr Gwajima pamoja na ugwiji wake wa health management kwenye kuisimamia social services alikuwa anapwaya ukimsikiliza.

Jambo jema limefanyika kupeleka naibu wa kushughulikia hiyo aspect ya wizara, but sioni kitu kikibadiliki kama ilivyo kwenye afya hata social services ni very technical na ina mifumo yake inayotaka partnerships ya taasisi mbali mbali ili ifanye kazi kama polisi, shule, ustawi wa jamii, NGO’s, na wananchi wenyewe.

Inataka sheria kali za adhabu kwa makosa mtu anapokiuka haki za watoto na adhabu kali zaidi kwa watu ambao wapo kwenye ‘position of trust’ kama mapolisi, walimu, maafisa wa ustawi wa jamii, wafanyakazi wa NGO’s, wazazi na wengine (wote walioaminiwa kulea na kulinda vulnerable ppl) watu hao wanaposhiriki kwenye matendo ya unyanyasaji kwa watoto inatakiwa balaa lake lisiwe dogo.

Hiyo wizara raisi kama kaleta uzanzibari if the woman is not qualified matatizo yatabaki palepale. It’s a very sensitive post given matatizo tunayosikia kuhusu watoto kila siku na watu hawaogopi bado kufanya matendo ya ukatili.
 
Mbunge wa Viti Maalum, Juliana Shonza, amesema kumekuwa na kesi nyingi za Ubakaji na Ulawiti wa Watoto katika Jamii lakini Maafisa waliopewa kazi ya kutatua changamoto hizo hawafanyi majukumu yao

Amesema kumekuwa na kesi nyingi za matukio ya Unyanyasaji lakini nyingi zinaishia kwenye Jamii bila Haki kupatikana huku akitolea mfano wa tukio la Iringa ambako Mtoto alibakwa na Mzazi wake na kuambukizwa UKIMWI lakini hakuna chochote kilichofanyika

Aidha, ameongeza kuwa Serikali inatoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo lakini miradi hiyo inakwama kutokana na Wananchi husika kutoshirikishwa kikamilifu katika uendeshaji wa miradi husika.


Ni jambo jema

cc:: Wakudadavuwa
 
Hivi ni maendeleo ya jamii au ustawi wa jamii.

Either way hakuna afisa wa maendeleo ya jamii, bali maafisa wa ustawi wa jamii.

Ustawi wa jamii (social services), hawana uhusiano na mambo ya miradi, wala bima za afya.

On the serious note katika issue za msingi alizoongelea za ulinzi wa watoto hiyo aspect ya wizara ya afya na yenyewe ni very technical ata Dr Gwajima pamoja na ugwiji wake wa health management kwenye kuisimamia social services alikuwa anapwaya ukimsikiliza.

Jambo jema limefanyika kupeleka naibu wa kushughulikia hiyo aspect ya wizara, but sioni kitu kikibadiliki kama ilivyo kwenye afya hata social services ni very technical na ina mifumo yake inayotaka partnerships ya taasisi mbali mbali ili ifanye kazi kama polisi, shule, ustawi wa jamii, NGO’s, na wananchi wenyewe.

Inataka sheria kali za adhabu kwa makosa mtu anapokiuka haki za watoto na adhabu kali zaidi kwa watu ambao wapo kwenye ‘position of trust’ kama mapolisi, walimu, maafisa wa ustawi wa jamii, wafanyakazi wa NGO’s, wazazi na wengine (wote walioaminiwa kulea na kulinda vulnerable ppl) watu hao wanaposhiriki kwenye matendo ya unyanyasaji kwa watoto inatakiwa balaa lake lisiwe dogo.

Hiyo wizara raisi kama kaleta uzanzibari if the woman is not qualified matatizo yatabaki palepale. It’s a very sensitive post given matatizo tunayosikia kuhusu watoto kila siku na watu hawaogopi bado kufanya matendo ya ukatili.
Wewe pekee ndio umemsikiliza na kumwelewa Bi Shonza!
 
Back
Top Bottom