Shonza: Siwezi kujibizana na Diamond


Unajua mkuu huu ni ukweli uliosema. Mimi naamini kabisa watz ni watu wa pekee sana. Ni watu wenye talent za kila aina.
Serikali yetu ipo tu kukosoa na kutoa adhabu na sio kusaidia kukua au kujenga mazingira ya kukuza sanaa na wasanii.
Unakuta jitu linasema wasanii walipe kodi. The derivation ya kodi sio kuchukua tu pesa za mtu bali kuchukua au kutonza pesa kutokana na kile ambacho serikali inagharamia katika nafasi ya msaani kukua na mazingira.
Nchi hii au niseme serikali wao wanaamini kutonza watu mikodi ndio kukuza uchumi. Sijawahi kusikia wizara ya habari inasaidia mchakato wa wasani au kuwapa pesa au kutoa incentives zozote kwa ajili ya wasanii.

Ila wakisikia diamond ametumia mil 39 kutengeneza video wao wanaanza kuwaza KODi.
I think we need to change the style and the leadership of this country. Its old and primitive!
 
Mkuu umemaliza kila kitu.
 
M naona mondi amkaze tu ..... maana vihere here vingine mwanadada anakuwa anahitaji huduma tu
 
Yaani umetamka kweli, baba mkuu! vijanamke vingine vimepewa Mamalaka ya chupi tu! ki vipi! wanajua wao!

basi wafungie nyimbo siyo Msanii! halafu kanaleta ukiritimba tuuu, eti km ameonewa! afuate sheria milango iko wazi! Roho za korosho tu na katabaki hivohivo, ndo maana hakana Nyama!
 
Hiki kidada kilikua kinanuka kwapa balaa.... kiko wapi siku hizi?
 
Wasanii wa siku hizi nao wamezidi kuvimba nyimbo za ajabu, unasikiliza nyimbo umekaa na watu wazima unaowaheshimu ghara unasikia nyimbo inapigwa " Dera jipya chupi la zamani" Daah .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…