Shonza: Siwezi kujibizana na Diamond

Diamond angekaa kimya tu, hiyo nyimbo yake ya Haleluya imewasikitisha wakristo wengi sana, ni kwakua tu hawana utaratibu wa kulalama publicly ila umewakwaza watu wengi.
Usitusemee wakristo kwa sababu ya neno hallelujah
 
Huyu waziri nadhani anapaswa kutafakari kabala hajasema kitu. Anaposema waulizwe Basata ina maana yeye hafatilii utendaji wa Basata ambayo ipo chini ya utawala wake? Ina maana hata maamuzi yanatolewa na Basata yeye huwa hajishughulishi kuhoji? Sasa anafanya nini kwenye hiyo wizara kama hata hajui taasisi zilizo chini yake zinafanyaje kazi.
 
Hahaha hakuna separation of power
 
Mond alisema kweli,kuna kamama kamoja kanakurupuka sanaaa, kamelewa sifa na madaraka, kanarudisha sanaaa yetu nyuma kwa kisingizio cha maadili,ilihali kenyewe hakana maadili hata kidogo. Juzi kati nilikafuma sehemu kamepaka rangi kucha za mikono yotee kulia na kushoto!! Haya ndo maadili ya wana BASATA???
 
Inakutumia kama karai la zege, pole sana Platinumz kama nakuona juu ya jukwaa la CCM ulivyokuwa unakata mauno wakati wa kampeni.
 
Kufuatia mwanamuziki wa bongo fleva kumlalamikia Naibu Waziri wa sanaa kuwa hawatendei haki wasanii kwa kuwafungia bila utaratibu, NW huyo ameibuka na kusema serikali haiwezi kujibishana na mtu aina ya Dimond na kwahiyo apuuzwe. Source mcl digital!
 
Hivi kazi ya Naibu Waziri wa Habari ni kufungia nyimbo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…