swalehe shiza
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,616
- 2,386
Ccm kwa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda imekusikitisha wewe, mi sijasikitikaDiamond angekaa kimya tu, hiyo nyimbo yake ya Haleluya imewasikitisha wakristo wengi sana, ni kwakua tu hawana utaratibu wa kulalama publicly ila umewakwaza watu wengi.
Kwa sababu yupo kwenye JF akitoa majibu mujarabu nipmHuyu waziri nadhani anapaswa kutafakari kabala hajasema kitu. Anaposema waulizwe Basata ina maana yeye hafatilii utendaji wa Basata ambayo ipo chini ya utawala wake? Ina maana hata maamuzi yanatolewa na Basata yeye huwa hajishughulishi kuhoji? Sasa anafanya nini kwenye hiyo wizara kama hata hajui taasisi zilizo chini yake zinafanyaje kazi.
Unamfahamu mlezi wa WCB au unaongeaongea tu? Utahama Dar na ndala tu.Diamond angekaa kimya tu, hiyo nyimbo yake ya Haleluya imewasikitisha wakristo wengi sana, ni kwakua tu hawana utaratibu wa kulalama publicly ila umewakwaza watu wengi.
Haelewi kama anaelewa!Keshajibizana hadi hapo
Wengi wana bifu na shonza ila nyimbo zilizofungiwa zinastahili kifungo. Shonza anapata umaarufu tu kwa kutajwa tajwa hadi raha
Shonza na magufuli wanasiasa waliokota uongozi tabia zao lazima zifanane.
Shonza anafanya kazi za basata.tcra.za uwaziri.mda si mrefu ataanza kuwa referee
Magufuli Nae igp yeye waziri wa viwanda yeye.msemaji wa serekali yeye.hakimu yeye.waziri mkuu yeye.
Kuokota vyeo ni hatari unakuwa hujajiaandaa.
Uwe unasoma vizuri halafu unaandika vizuri pia, kikiristoo ndo wapiTangu lini neno Hallelujah Ni neno la kikristoo?
Ameshajibu alitaka ajibu vipi?
Kwanini watu wawe na bifu naye?Wengi wana bifu na shonza ila nyimbo zilizofungiwa zinastahili kifungo. Shonza anapata umaarufu tu kwa kutajwa tajwa hadi raha
What is the meaning of the word hallelujah?Hallelujah simply means "praise Jah". Sasa wakristo tukalalamike nn????