Shonza: Siwezi kujibizana na Diamond

Shonza: Siwezi kujibizana na Diamond

Kazi yangu itakuwa ni kukukumbusha mpaka mwisho wa hili game.


WAZIRI MWAKYEMBE AKERWA NA KAULI ZA DIAMOND

Waziri wa Habari Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ameeleza kukerwa na mwanamuziki Diamond Platnumz kutokana na kumdharirisha naibu wake Juliana Shonza wakati akihojiwa katika kipindi cha The Play List cha Times FM na mitandaoni.

Katika maelezo yake Mwakyembe amesema inaelekea sasa Diamond ameanza kulewa umaarufu sasa. Kuhusu hoja ya vikao anavyodai mwanamuziki huyo Mwakyembe amesema kuwa “kama ni vikao na wasanii, tumefanya vingi sana, lakini Diamond hahudhurii vikao hivyo na si wajibu wa Serikali kumfanyia kikao chake mwenyewe, haijalishi nibmaarufu kiasi gani."

"Hatuwezi kuwa na sheria kwa wasanii wengine na sheria maalum kwake, nadhani hizi ni dalili za kuanza kulewa umaarufu kwani Diamond si Kiongozi wa Shirikisho la Muziki wala msemaji wa Chama cha Muziki wa kizazi kipya kuwasemea wenzake," amesema Mwakyembe.

Aidha Waziri Mwakuembe amemalizia kwa kumshauri mwanamuziki huyo kuwa "si busara kwake kushindana na Serikali, na kama ana ushauri basi autoe kistaarabu utazingatiwa lakini si kwa kumshambulia Naibu Waziri kwa dharau na kejeli jinsi alivyofanya. Sijafurahishwa hata kidogo."

Chanzo: DAR24
Hamna kitu hapo wewe.....
 
Kazi yangu itakuwa ni kukukumbusha mpaka mwisho wa hili game.


WAZIRI MWAKYEMBE AKERWA NA KAULI ZA DIAMOND

Waziri wa Habari Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ameeleza kukerwa na mwanamuziki Diamond Platnumz kutokana na kumdharirisha naibu wake Juliana Shonza wakati akihojiwa katika kipindi cha The Play List cha Times FM na mitandaoni.

Katika maelezo yake Mwakyembe amesema inaelekea sasa Diamond ameanza kulewa umaarufu sasa. Kuhusu hoja ya vikao anavyodai mwanamuziki huyo Mwakyembe amesema kuwa “kama ni vikao na wasanii, tumefanya vingi sana, lakini Diamond hahudhurii vikao hivyo na si wajibu wa Serikali kumfanyia kikao chake mwenyewe, haijalishi nibmaarufu kiasi gani."

"Hatuwezi kuwa na sheria kwa wasanii wengine na sheria maalum kwake, nadhani hizi ni dalili za kuanza kulewa umaarufu kwani Diamond si Kiongozi wa Shirikisho la Muziki wala msemaji wa Chama cha Muziki wa kizazi kipya kuwasemea wenzake," amesema Mwakyembe.

Aidha Waziri Mwakuembe amemalizia kwa kumshauri mwanamuziki huyo kuwa "si busara kwake kushindana na Serikali, na kama ana ushauri basi autoe kistaarabu utazingatiwa lakini si kwa kumshambulia Naibu Waziri kwa dharau na kejeli jinsi alivyofanya. Sijafurahishwa hata kidogo."

Chanzo: DAR24
Pia mwakyembe asisahau sisi ndio wapiga kura na japo hatukumchagua ila akumbuke madarakani hata kaa milele.
 
Hawa vijana wa siku hizi nao sijui kwa nini legelege namna hii,, Shonza wala siyo wa kupigia kelele ni wa kumla mkavu tu!!
 
Huyu bibie alivyo na jicho nyanya ivo kama vipi apigwe mkuyati tu kiishe. Najua mondi ashindwi!
 
Tukutane YouTube, kama wanauwezo wakazifunge na huko, shyeenz!
 
"BASATA ilinitumia ujumbe kupitia sms ya kawaida na mtindo wake ulikuwa ni kuitwa ofisini tu. Ujumbe haulizi kama nipo sehemu gani bali unaitwa tu." maneno ya Roma
29092902_1895302540480334_6400086954255319040_n.jpg
 
Kitendo cha kureact tu tayar kashajibu hoja... Much love for you naibu waziri
Ameleta badiliko gani tangu awe waziri ? Bosi wake Mwakembe na usomi wake lakini ukiangalia kwenye tundu la sikio la upande mmoja unaona mpaka upande wa 2. Eti mtu kama huna cheti cha kuzaliwa usifunge ndoa. Kule Ipinda wangapi wana hivyo vyeti ?
Wizara ya bandari ilimshinda sana sana kaweka wanyakyusa wanaopiga pesa kwenye mafuta. Wizara ya sheria ikamshinda. Kuna wakati mheshimiwa rais atashindwa kumbeba huyu mzigo
 
"BASATA ilinitumia ujumbe kupitia sms ya kawaida na mtindo wake ulikuwa ni kuitwa ofisini tu. Ujumbe haulizi kama nipo sehemu gani bali unaitwa tu." maneno ya Roma
View attachment 721342
kufungia nyimbo na wasanii alilengwa Roma, wengjne wamieigizwa ili kuzuga tu. mipango yoyote ovu Huleta hasara tu. na haifanikiwi

selikari Immeisha tengeneza na mgogoro na wasanii,
 
Diamond angekaa kimya tu, hiyo nyimbo yake ya Haleluya imewasikitisha wakristo wengi sana, ni kwakua tu hawana utaratibu wa kulalama publicly ila umewakwaza watu wengi.
Kwah sasa inausiana nini na wakristo bloo ivi unajuwa maana ya haleluya??
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom