Anyway mimi si mtalaam wa soka (Soccer Science), ila kwa maoni yangu naona kuna kaprogress fulani kamepatikana tangia Maximo achukue mikoba ya ukocha. Mi nafikiri, tatizo letu ni kwamba vijana wetu hawana background nzuri sana ya nidhamu ya michezo na Elimu ya MICHEZO kwa ujumla wake tofauti na vijana tunaowaona wanasukuma kambumbu huko Europe, wale vijana walio wengi wamekulia kwenye ma academy ya michezo and they know exactly what football means to them, so kwao kocha nafikri kazi yake inakuwa ndogo sana ya kuwajenga kisaikolojia na kuwajenga kitimu zaidi!
Sisi vijana wetu wanaweza kuwa na vipaji sana vya soka lakini havijaendelezwa, kila moja anachomoka toka huko uswazi kivyake......, hakuna wakumjenga stamina, hakuna discipline ya michezo, yaani tabu tu...so hawa makocha wanao wafundisha cha moto wanakiona na wanajitahidi sana kwa kweli!