Should Maximo stay and enjoy the money 4 nothing? - Contract to be renewed?

Should Maximo stay and enjoy the money 4 nothing? - Contract to be renewed?

Ligi yetu hovyo hovyo...
Timu zetu shaghala bagala...
Wachezaji wetu nao hoi bin taabani...
Kutoka kwenye uozo huu sisi waswahili tunataka timu ya taifa ifanye maajabu!!!
MBOMBO NGAFU!!
 
halafu hili lijamaa ni ling'ang'anizi kama ccm , kwanini haliachii madaraka bila kufukuzwa, aaaaargh hapa mwanasayansi nimeluzi tempa, acha nilogi off kwa sekunde 2 kupunguza munkari.
 
MIE NISHA CHOKA HATA KUSEMA....MAXIMO PLEASEEEEE...I KNOW YOU ARE A FUNCTIONAL MEMBER OF JF...WE BEG U TO LEAVE US ALONE...PACK UR BAGS GO BACK TO BRAZIL...WE DONT NEED U ANYMORE...THERE'S NOTHING WE CAN FEEL PROUD OF YOU..PLEASEEEE...GIVE US A LITTLE BREAK WE CAN ATLEAST BREATH OUT......yani huyu mzeee kwakweli hata kusikia jinalake najihisi kichefuchefu...(HALAFU BABA YENU NDIO ANAMLINDAAAA)
 
Hakuna maendeleo yoyote yaliyopatikana under Maximo tangu amekuja kabalisha balisha kikosi utafikri anajaribu kwachezaji ili kupata first 11. muulize ana wachezaji wangapi ambao bado wao katika kikosi chake cha kwanza alioanza nao? sidhani wanafika hata 2, sasa consistance utaipata wapi?, na work done yote ya nyuma ipo wapi?

Miaka hii michache tu alikuwa na timu ya taifa kafanya mess kibao kuichezea chezea timu yetu, anazidiwa hata na machocha wa club za ndani kwa tactics. defence bomu sijui kawafundisha wawashike ma striker wakati wanaenda kufunga?

Atuachie timu yetu aende kwao tushachoka. Ungeangalia mpira wa jana ungekubaliana na mimi kwamba tupo mbali sana kisoka. hata kama tungeshinda game ya jana ila Rwanda walicheza vizuri na wana tactics safi za kufundishwa, je hao nao wametoka soka academy?

Kocha mzuri anaonekana tu, mpe game 10 za mwanzo utajua, nani kama Phil?
Pamoja na hasira tulizonazo za kuishuhudia timu yetu ikifungwa hatuna budi pia kutoa sifa kwa kocha timu inaposhinda. MAXIMO huyu aliipeleka Tanzania kwenye CHAN, pia aliiwezesha timu kuwa walau inapata matoeo ya kuridhisha against timu za west Africa e.g Ushindi dhidi ya Burkina Fasso, Draw against Cameroon, Ghana, Senegal.
Nafikiri tatizo letu sio MAximo, bali ni mfumo wa soka letu kwa ujumla. Tujiulize maximo anapata wapi wachezaji? Mostly ni Simba na Yanga; zitazame hizi timu kwa miaka mitatu nyuma niambie zimeshinda mashindano gani ya kimataifa au kuifunga timu gani bora hapa Afrika Mashariki na Kati?Kwa miaka miwili mfululizo ligi kuu Bara, mfungaji bora amekuwa ni mchezaji kutoka nje ya Tanzania (hatuna wachezaji wenye uwezo wa kufunga magoli??). Na sio kweli kuwa timu ya maximo inabadilika wachezaji wa timu ya Taifa stars ni wale wale , First eleven imepungukiwa na hawa wafuatao tu Kaseja(alionyesha upuuzi mwenyewe, hastahili mshamaha; huwezi kushangilia timu yako mwenyewe ikifungwa), Ivo Mapunda (kiwango kimepungua), Meck Maxime(kastaafu, kabadilishwa na Juma Jabu), Mwaikimba na Said Maulid (uwezo duni/Umri), Victor Costa(majeraha) na Deo Njohole (kiwango duni) Chuji, nidhamu mbovu(bangi). Hawa ndio walioondolewa ktk first eleven ya maximo na kuanza kuongeza chipukizi wafuatao, Juma Dihile, Jerry tegete, Mrisho Ngassa, Kiggi Makasi, Juma Jabu, nk Chipukizi hawa hatuwezi kubisha kuwa ni kati ya wachezaji bora kabisa waliopo katika ligi kuu ya Bara kwa sasa.

Bottomline is; tatizo liko kwetu tuliondoe, watakuja makocha wote bora tunaowajua hatutafika. Mliotazama michezo ya challenge; be honest na tuache ushabiki; magoli alitokosa MGOSI alaumiwe maximo?red cards za Kijinga hata kwenye mechi ya nusu fainali alaumiwe maximo?

I am just thinking aloud!
 
Akitoka Maximo kazi apewe nani, Mziray??

Tatizo si Maximo, hata akija Capello hatafanya miujiza tunayoitaka. Tuanze kujenga misingi ya ushindi kuanzia shuleni na vilabu. Hakuna stability, kila siku ni mabadiliko continuity itapatikani wapi?

Kwa msingi huo hakuna umuhimu wowote wa yeye kuendelea kula jasho la walipa kodi wa nji hii?????
 
kocha gani bana hata kiswahili hajui bana amekaa miaka 4................shiiiiit .......HANA UWEZO ANAYEBISHA AWEKE CV YAKE HAPA......LOL??
..Kocha mpaka ameingia kwenye kuigiza filamu za kiswazi...unategemea atafundisha mpira kweli?? Jana alikuwa mpole kama alilala kwenye jokofu!!!
 
Mimi nafikiri bado tunamuhitaji, kinachotakiwa ni kubadili mfumo wa soka ili tuwe na klabu hodari zaidi zenye wachezaji chipukizi ambao watcheza soka la Ulaya. Ila hata aondoke Marcimo aje Ancelloti au Ferguson hakuna mabadiliko yoyote yatakayotokea kwenye national team


mbona unajipinga tena mwenyewe????
Naamini unamaanisha aondoke na asije mwingine ili tupate muda wa kubadili mfumo zingatia! kuwepo kwake hakuna faida kwa taifa hili na kubwa zaid pesa za walipa kodi zinzidi kuteketea!
 
Hii picha ni ya kikosi cha Maximo cha kwanza kabisa ,majority aliowaacha hawasikiki hata kwenye ligi
 

Attachments

  • taifa stars.jpg
    taifa stars.jpg
    28 KB · Views: 51
Bottomline is; tatizo liko kwetu tuliondoe, watakuja makocha wote bora tunaowajua hatutafika. Mliotazama michezo ya challenge; be honest na tuache ushabiki; magoli alitokosa MGOSI alaumiwe maximo?red cards za Kijinga hata kwenye mechi ya nusu fainali alaumiwe maximo?

I am just thinking aloud!

Naamini nimekuelewa kwa mtazamo wako mwalimu atalaumiwa kwa nini maana haingii kucheza hata siku moja Jaman sasa utampima mwalimu kwa njia gani?????? nnavyoelewa mimi mafanikio ya timu ndio sifa na uwezo wa mwalimu unataka kuniambia haya ndio matokeo yetu ya kudumu??? mifano tunayo tena uko ughaibun! basi atuachie timu yetu huyu!
 
Marcio Maximo,
a Brazilian, is the head coach of the Tanzania National Football Team. He will be responsible for the Taifa Stars.
His appointment by the Government of Tanzania follows a promise made by the President of Tanzania, Jakaya Kikwete to ensure improvement of football in the country.
He had previously coached Livingston Football Club in Scotland in 2003/2004. He was also a member of Brazil's youth coaching staff (under-17 and under-20) in 1992 and 1993.
His main task was to qualify the Taifa Stars for the 2008 African Nations Cup finals in Ghana for the first time in more than 25 years. However, he failed to reach that ambition but his recent focuses have been on qualifying for the 2010 World cup. Recently Maximo has meant a lot to Tanzania so as to improve football. Under his leadership, the ranking of the Tanzanian team has risen. Marcio Maximo has made Tanzania to qualify for CAN finals for home players. These final shall take place in Ivory cost from February 22 to March 8th, 2009. Tanzania qualified after beating Sudan 5-2 goal aggregate. Marcio Maximo did a lot to improve Tanzanian football. Brazilian coach, Marcio Maximo, has extended his contract with the Tanzania Football Federation (TFF) for another year until july 2010
 
je ni kweli kwamba maendeleo ya timu ya taifa ya tanzania yanaridhisha kiasi cha kuona kwamba ni vema kocha maximo akaendelea kuvumiliwa?
Au kocha maximo anayo kinga ya kumzuia asifukuzwe kama scolary?

Anayo tena kinga ya maana kuliko aliyokuanayo, Mkapa!
Ila tumemchoka!
 
Hawa makocha wa Brazil sisi hawatufai. Mpira wao ume based na pasi sana..ni safi kuangalia ila hauna matunda. Either tutafute makocha toka Ulaya ... angalia mifano timu za Uganda na Zambia etc wanavyocheza AU tusomeshe makocha wetu nje ya nchi (mfano Ulaya) ili wapate ujuzi.

Halafu turudishe UMISETA mashuleni..hii ilikuwa njia nzuri ya kupata wachezaji wazuri!!
Maximo muda wake umeisha!!
 
you are thinkin loud ...so what???...unataka kusema maximo ni mteule wetu kiasi kwamba kumuacha na kuajiri kocha mwingine ni dhambi??...kisa wachezaji wetu wabovu....

kocha kama wenger hata umpelekee taahira atakuwa mchezaji mzuri...pia kuna nchi ambazo wapo wachezaji walitoka from roots na kuingia soka ya kuli[pwa ulaya bila hata kucheza ligi ya nyumbani (cameroun)...huyu mchezaji aligunduliwa na kocha ambaye alikwenda kuangalia mechi ya timu ya kijiji na kumchukua mchezaji huyo mpaka timu ya taifa then worldcup then akasajiliwa ulaya....

we wanted maximo to do this since day one anaingia nchini...hizi habari za simba na yanga ni visingizio tuuu hana lolote na excuse za kipuuzi...mgosi kushindwa kufunga ni kwavile hakumfundisha kumalizia mipira au pia hakumfundisha jinsi ya kujipanga....

redcards ni matokeo ya uchezaji...kameroun walishawahi kucheza world cup kila mechi wanakula redcard ila walifika robo fainal....sasa maximo anatuambiaje kwa hili...(akisema utovu wa nidhamu basi yeye ndio mwalimu wa nidhamu mbovu duniani) maana tunaamini timu aliyokuwa nayo sahivi imejaa angels and saints..baada ya kuwatema mashujaa wa utovu wa nidhamu...

i wish anaondokea kenya hukohuko...mabegi yake yatamfuata kwa dhl baadae....
 
Livingston boss resigns
Livingston have parted company with Marcio Maximo only four months into his reign as head coach.
The club's chairman, Dominic Keane, confirmed the news, disclosed earlier by BBC Sport, that the 40-year-old Brazilian had resigned.
But a disappointed Keane has refused to disclose the "personal" reasons for the departure.
Club sources suggest that Maximo was homesick, although it is also known that some players were unhappy with his methods.
Keane told his club's website: "Despite numerous meetings between myself and Marcio, when I made every effort to convince him to stay with us and see through the professional job he was doing at the club, I am left with no option but to respect that decision - difficult as it has proved to be.

Marcio's efforts will be appreciated for years to come
Livi chairman Dominic Keane
"I sympathise fully with the personal reasons which prompted Marcio's request to be allowed to leave and I have assured Marcio that those reasons will remain a private matter between ourselves.
"It took great courage for him to come to Scotland and, as far as the history of Livingston FC is concerned, Marcio's efforts will be appreciated for years to come."
Maximo insisted that, despite his decision, he had enjoyed his time with the Scottish Premier League club and thanked the players, staff, fans and, especially, the chairman.
"He is committed to a forward-looking approach to football and I hope he continues to follow that philosophy in the future," Maximo said of Keane.
"I know that it is often difficult to implement new ideas in football, but I truly believe that Livingston Football Club has great potential and will, in the short term, affirm its place as one of the most influential and respected clubs in Scotland."
Maximo's time at the City Stadium was dogged by controversy and unconvincing performances that have failed to significantly revive the club's fortunes.
Previous boss Jim Leishman was unhappy at being moved into a chief executive role to make way for Maximo becoming the first Brazilian to lead a British club.
Leishman soon left for a similar upstairs role with hometown club Dunfermline Athletic.

And Keane's Brazilian experiment at Livingston got off to a bad start when Leishman's assistant, Davie Hay, and Maximo appeared to disagree about who had the final say in picking the team.
Hay eventually took a back seat but is poised to take over team matters for Saturday's game against Hibernian at Easter Road.
Livingston presently lie eighth, one spot above last season's finish, seven points clear of relegation favourites Partick Thistle but five points adrift of third-top Hearts.
Maximo had turned down an offer of a contract extension from the Grand Cayman Islands, where he was technical director, to sign a one-year deal with Livingston.
He came highly rated, having nurtured World Cup winners Ronaldo and former Manchester United target Ronaldinho during his time as coach of Brazil's under-17 and under-20 sides.
The Brazilian, full name Marcio Maximo Barcellos, is due to leave Scotland for Brazil on Wednesday.

Story from BBC SPORT:
http://news.bbc.co.uk/go/pr/fr/-/sport1/hi/football/teams/l/livingston/3190612.stm
 
Hawa makocha wa Brazil sisi hawatufai. Mpira wao ume based na pasi sana..ni safi kuangalia ila hauna matunda. Either tutafute makocha toka Ulaya ... angalia mifano timu za Uganda na Zambia etc wanavyocheza AU tusomeshe makocha wetu nje ya nchi (mfano Ulaya) ili wapate ujuzi.

Halafu turudishe UMISETA mashuleni..hii ilikuwa njia nzuri ya kupata wachezaji wazuri!!
Maximo muda wake umeisha!!

Hapo umegusia mambo yote ya maana. Kwa kifupi ni kwamba wachezaji wetu hawajui kujipanga, hawana tactical discipline na hawajui how to play to their strengths.

Tunahitaji kocha kutoka visiwa vya Uingereza, Ujerumani au the former soviet union.

For tactical discpline and organisation look no further than the Greece Euro 2004 winning squad which despite being inferior than most of their counterparts won the competition simply by playing a highly tactically discplined style of football which maximised their strengths and minimised their vulnerability in areas they were not so good at.
 
si aondoke,hakuna jipya analoweza kutupatia.....tena,uwezo mdogo sana wa kufundisha na europe hawezi kupewe timu yoyote hata ya kids....amefulia vibaya sana sana...hajui analolifanya...mfano kunatimu aliendanayo brazil leo iko wapi....bado kuna timu iliyoshiriki mashindano ya kombe la dunia la hawali...walicheza na cameroon sijui karogwa na nani?
tiketi yake na mabegi yake yamkute uwanja wa ndege jk....mapema.tutajua wapi tumpate kocha bora mwenye c.v nzuri kisoka.
 
Hapo umegusia mambo yote ya maana. Kwa kifupi ni kwamba wachezaji wetu hawajui kujipanga, hawana tactical discipline na hawajui how to play to their strengths.

Tunahitaji kocha kutoka visiwa vya Uingereza, Ujerumani au the former soviet union.

For tactical discpline and organisation look no further than the Greece Euro 2004 winning squad which despite being inferior than most of their counterparts won the competition simply by playing a highly tactically discplined style of football which maximised their strengths and minimised their vulnerability in areas they were not so good at.

Tupe wote kwa hii mkuu. Mpira wa Brazil ume focus sana kwenye pasi na mashambulizi ila ku defend sio sana (hawahitaji anyway kama wanajua watafunga magoli mengi).

Timu yetu inahitaji kocha wa kuwafundisha ku defend kwanza (unajenga toka chini/nyuma).
 
Nitajieni makocha hata watatu tu ambao nyie mnaamini leo hii akiondoka Marcimo watachukua mikoba ya NT na mambo yakawa fresh
 
Back
Top Bottom