Should Maximo stay and enjoy the money 4 nothing? - Contract to be renewed?

omar mahadhi bin jabir alikuwa mfupi na akachaguliwa kuwa kipa bora wa africa.
 
Huyo Maximo hakutufaa tangu siku ya kwanza, tatizo tulivyosikia tuu kuwa anatokea Brazil basi tukajua ni kocha wa maana.
 
Arghhhhhhhhh....nime naanza kampeni za kumngoa huyu kimeo maximo...
1- asipewe audience yoyote na media za tanzania..tusiandike wala kutangaza chochote kuhusu timu ya taifa..kifupi kumpotezea tuuu
2- timu ikicheza tusiende uwanjani
3- timu ikifungwa hata pale q-bar na jackies tumpige mawe na makopo ya soda na maji ...mpaka aone hii nchi hatumtaki awe kocha wala kujihusisha na soka

anajifanya anataka nidhamu wakati yeye yeye hata tone la nidhamu hana....tushachoka sieeeee...uwanja mzuri timu mbovu kisa kocha kimeo...shiiiiiiiiit
 
Huyo Maximo hakutufaa tangu siku ya kwanza, tatizo tulivyosikia tuu kuwa anatokea Brazil basi tukajua ni kocha wa maana.

Hapa ndugu yangu umenena vyema...
huu jamaa mi nahisi kule Brazil alikuwa ni mchoma chapati.
Ila kwa kuwa watanzania wengi wenu ni wababaishaji mkaamini kuwa yule ni kocha wa ukweli, kumbe ni uharo mtupu...
Hakika huyu jamaa alitakiwa atimuliwe kipindi kirefu sana.
 
Huyu sio Marcio Maximo, bali ni Masikio Makisio! We mtu gani asiyeshaurika huyu?! Na watu wa TFF nao kimyaaa, sijui kv aliletwa na mkulu?!
 
Haruna Moshi (Boban), Amir Mafuta je?..kwenye hiyo michuano inayoendelea kama angeongeza nguvu za Boban,Chuji na Kasenja si ajabu kesho tungecheza fainali
 
Tutaongea mengi sana lakini umefika wakati tufanye mamuzi.

Tumeshaona macoach mazuri sana wakitimuliwa bila haya huko ulaya
Hivi hatujifunzi kwa walioendelea? ingekuwa muda hajapewa kweli damn
4 years haitoshi kumjudge huyu mbrazil fake

Aondoke zake bwana..
 

Zitakapoanza kesi za ufujaji wa mali za umma hili lisisahaulike maana na huu pia ni ufisadi tena mkubwa
kwa muda wote huu bado yuko Hotelini?????
Mhhhhhhhhhh Mkulu nae hazionei huruma pesa za walala hoi tena katika zama hizi????????
 

Maximo alikimbia timu ya daraja la tatu uko Scotland, ila watanzania kwa pupa zetu tukamchukua haraka haraka, kashindwa kutupeleka fainali za chalenji ndio ataweza kutupeleka kwenye AFCON au World Cup?

Tuanzishe petition ya kuondolewa kwake.
 
Si tunasubiri atupeleke brazil tena,kocha gani mbishi??? Hataki ushauri lakini sasa mwisho wake umefika wala hakai,hata kwa babu tutaenda.
 
Haya AMANI na UTULIVU. Kidumu chama cha Mapinduzi. Zidumu fikira (SAHIHI) za mwenyekiti
 
Haya AMANI na UTULIVU. Kidumu chama cha Mapinduzi. Zidumu fikira (SAHIHI) za mwenyekiti


Duh! umenikumbusha Longi! mh wakati hata neno kauli mbiu halisikiki Mhhhhhhhh kweli ya zamani hiyo "zamadam" yaani haipo hiyo leo ni "Kilimo kwanza" tulikua na Mtaji wa masikini, halimpya na.......mpya tz bila.........inawezekana, nanyingine nyiiiiiiingi
 
Haya tena tumefungwa na zanzibar Maximo Atatuambia nini?
 
Natumai hapo alipo anaomba afukuzwe ,anajuuuta kuwa kocha Tanganyika.
 
Conversation between a child and the Judge in court:

Judge: Do you want to live with your mother?

Child: No

Judge: Why?

Child: She beats me.

Judge: Okay, so you want to live with dad?

Child: No

Judge: Why not?

Child: He beats me too.

Judge: So who do you want to live with?

Child: Taifa Stars!!!

Judge: WHY??

Child: They never beat anyone!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…