Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
viongozi, kocha, wachezaji wote ni uharo mtupu...kwa hiyo kama mnataka vidonda vya tumbo na presha za kupanda na kushuka basi shangilia timu hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali na Maximo yupo kocha mwingine wa timu ya vijana anaitwa Tinoco....Hovyo kabisa, atimuliwe hata kesho, maana ana miaka miwili tangu kaja hapa, analipwa mshahara na marupu rupu kibao...muulize timu ya taifa ya vijana aliyonayo na imeshiriki mashindano gani so far, hakuna!!!
He should be fired if we loose the game with Cameroun or even a draw. It is time to show him a pink slip. Enough is enough. That is my opinion.
Mimi namlaumu Makamu wa Rais Dr Shein yaani wenzie wote wanafuatilia timu kwenda kambini na kwenye mechi yeye hata kutoa salam hajawahi kutoa!
Hivi baina yake na Boss wake ni nani alie busy zaidi?
Wako wapi waliosema beauty pageants ni wrong priority?
hana jipya akwende
Maximo is a great coach.Ni yeye aliyemuibua Geofrey Bonny kutoka Prison ambapo amecheza kwa takriban miaka 4 bila yanga kumuona.Ni yeye aliyemuibua Kigi Makasy , Jerry Tegete.Amefanya sehemu yake.Maximo ni kocha mkuu wa timu yetu ya taifa, kwa hiyo matokeo yoyote mabaya ni lazima awajibike. Tusilaumu wachezaji, kwani hao wachezaji ni nani anayewateua? Ni yeye mwenyewe!!! Kama kweli angekuwa serious basi angefanya scouting ya kutosha nchi nzima kutafuta wachezaji mahiri wa soka ambao naamini wapo wengi tu, ila hawajapata exposure. Mambo ya kusubiri mpaka mchezaji aibukie Kagera Sugar baada ya kuchezea timu ya kijiji chao kwa miaka kadhaa, kisha aje Yanga au Simba, halafu umchukue Stars na uishie kumlaumu kwamba hafundishiki IS NOT FAIR!!
Mbali na Maximo yupo kocha mwingine wa timu ya vijana anaitwa Tinoco....Hovyo kabisa, atimuliwe hata kesho, maana ana miaka miwili tangu kaja hapa, analipwa mshahara na marupu rupu kibao...muulize timu ya taifa ya vijana aliyonayo na imeshiriki mashindano gani so far, hakuna!!!
Tuangalie upya hawa jamaa, wanatulisha sumu!!!
Anyway mimi si mtalaam wa soka (Soccer Science), ila kwa maoni yangu naona kuna kaprogress fulani kamepatikana tangia Maximo achukue mikoba ya ukocha. Mi nafikiri, tatizo letu ni kwamba vijana wetu hawana background nzuri sana ya nidhamu ya michezo na Elimu ya MICHEZO kwa ujumla wake tofauti na vijana tunaowaona wanasukuma kambumbu huko Europe, wale vijana walio wengi wamekulia kwenye ma academy ya michezo and they know exactly what football means to them, so kwao kocha nafikri kazi yake inakuwa ndogo sana ya kuwajenga kisaikolojia na kuwajenga kitimu zaidi!
Sisi vijana wetu wanaweza kuwa na vipaji sana vya soka lakini havijaendelezwa, kila moja anachomoka toka huko uswazi kivyake......, hakuna wakumjenga stamina, hakuna discipline ya michezo, yaani tabu tu...so hawa makocha wanao wafundisha cha moto wanakiona na wanajitahidi sana kwa kweli!
Kwanini sisi hatuwezi lakini wao wanaweza?