Upo sahih japo hizo ndo hulka zao, kupingana na hulka yako ni kupingana na nature.Tatizo wanajifanya motivational speakers na kupotosha wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahih japo hizo ndo hulka zao, kupingana na hulka yako ni kupingana na nature.Tatizo wanajifanya motivational speakers na kupotosha wengi
Kuna mtu Arusha alikuwa anaitwa askofu.. Anasimama kwenye kiambaza cha ghorofa lake kisha anamwaga pesa chini watu wanagombea.. Alikufa maskiniKwa umri alionao, Hela alizonazo zinamtosha kabisa, 🙂🙂.
Hapo alikuwa petrol ⛽ station anagawa mafuta kwa boda - boda
View attachment 3137472
Daah!! pesa inataka nidhamu.Kuna mtu Arusha alikuwa anaitwa askofu.. Anasimama kwenye kiambaza cha ghorofa lake kisha anamwaga pesa chini watu wanagombea.. Alikufa maskini
Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..
Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake
Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya kijiji/kata
Utajiri ngazi ya Wilaya
Utajiri ngazi ya mkoa/kanda
Utajiri ngazi ya Taifa
Utajiri ngazi ya bara
Utajiri ngazi ya dunia
Kilichotokea kwa Lugumi na kijana anayetamba ana utajiri mkubwa bwana chief Godlove.. Ni fedheha na aibu kwa kijana huyo.
Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana
Ana show off nyingi za magari yake kama matank hivi mitumba ambayo kwa pamoja thamani yake haifiki ama haizidi milion mia tatu.. Mabunda ya pesa anayoonyesha ni hizi pesa zetu tunazoziita za Madafu zisizozidi million 50.. Hana uwezo wa kuonesha walau dola laki moja tuu..!
Kwenye video inayotrend mitandaoni inamuonesha wakati akiagana na mwenyeji wake kisha matusi yakaanza
1. Moja akapelekwa kwenye show room ambayo imepaki ndinga mpya na za hadhi ya juu tupu.. Mojawapo ya ndinga mwenyeji wake aliyoiita uchafu haipungui milion 150.. Na inathamani ya magari zaidi ya matatu ya CGL. Show room hiyo ni safi na ya gharama na kimefungwa viyoyozi na vioo na aluminium..!
2. Kitendo cha kupewa marashi lilikuwa ni tusi baya. Mwanaume utapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako!? Ni aidha ana lake jambo ama ulipofika kwake alikuona unanuka kikwapa.. Ama vinginevyo visivyosemwa..
Kwa ulimbukeni CGL aliifungua palepale na kujipuliza huku akiisifia sana!😂
3. Kitendo cha kupewa bunda la pesa kama 5M hivi .. Nacho kilikuwa dhihaka na tusi kubwa.. Wanaume huwa tunasaidiana lakini sio kwa mazingira yale yaliyokaa kama kuhongwa..!
Kwa utajiri anaojinasibu nao CGL mitandaoni alipaswa pale aoneshe mkataba ama mikataba ya dili ya pesa ndefu na connection za pesa na sio vipesa na manukato..
Pengine Lugumi hakutaka chochote kijulikane lakini mwana alipoenda na Cameraman.. Bila kujua ametufunulia mengi kuhusu anachoita utajiri wake
MkuuJe Lugumi ndio Pdidy wa bon
Mkuu nashida na ww ila sijui namna ya kukutumia ujumbe binafsi mm ni member mpya humu.Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..
Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake
Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya kijiji/kata
Utajiri ngazi ya Wilaya
Utajiri ngazi ya mkoa/kanda
Utajiri ngazi ya Taifa
Utajiri ngazi ya bara
Utajiri ngazi ya dunia
Kilichotokea kwa Lugumi na kijana anayetamba ana utajiri mkubwa bwana chief Godlove.. Ni fedheha na aibu kwa kijana huyo.
Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana
Ana show off nyingi za magari yake kama matank hivi mitumba ambayo kwa pamoja thamani yake haifiki ama haizidi milion mia tatu.. Mabunda ya pesa anayoonyesha ni hizi pesa zetu tunazoziita za Madafu zisizozidi million 50.. Hana uwezo wa kuonesha walau dola laki moja tuu..!
Kwenye video inayotrend mitandaoni inamuonesha wakati akiagana na mwenyeji wake kisha matusi yakaanza
1. Moja akapelekwa kwenye show room ambayo imepaki ndinga mpya na za hadhi ya juu tupu.. Mojawapo ya ndinga mwenyeji wake aliyoiita uchafu haipungui milion 150.. Na inathamani ya magari zaidi ya matatu ya CGL. Show room hiyo ni safi na ya gharama na kimefungwa viyoyozi na vioo na aluminium..!
2. Kitendo cha kupewa marashi lilikuwa ni tusi baya. Mwanaume utapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako!? Ni aidha ana lake jambo ama ulipofika kwake alikuona unanuka kikwapa.. Ama vinginevyo visivyosemwa..
Kwa ulimbukeni CGL aliifungua palepale na kujipuliza huku akiisifia sana!😂
3. Kitendo cha kupewa bunda la pesa kama 5M hivi .. Nacho kilikuwa dhihaka na tusi kubwa.. Wanaume huwa tunasaidiana lakini sio kwa mazingira yale yaliyokaa kama kuhongwa..!
Kwa utajiri anaojinasibu nao CGL mitandaoni alipaswa pale aoneshe mkataba ama mikataba ya dili ya pesa ndefu na connection za pesa na sio vipesa na manukato..
Pengine Lugumi hakutaka chochote kijulikane lakini mwana alipoenda na Cameraman.. Bila kujua ametufunulia mengi kuhusu anachoita utajiri wake
Kwa umri alionao, Hela alizonazo zinamtosha kabisa, 🙂🙂.
Hapo alikuwa petrol ⛽ station anagawa mafuta kwa boda - boda
View attachment 3137472
Hii imefunga kila hoja za kitoto na kibabaishaji. Pesa hazipendi kelele...huwa zinatabia ya kukimbia fasta 😂 😂 😂 😂 😂Nothing is more apparent, with pure reasoning than atmosphere of money.-mario puzzo kwenye riwaya ya the godfather 1969. Pesa haipendi kelele.
Ni kweli kabisa Lugumi kipindi cha Jk hakulaza damu alitembea na fursa.. Halafu Magu akaja akamtikisaKuna mtu kaandika yafuatayo mahali, sijui yana ukweli ganii!!;
"Huyo Lugumi Magufuli alimkomesha alishirikiana na utawala wa Kikwete kuiba rasilimali za nchi hii... Magu amekufa majambazi wakubwa kama hao wanaendelea kuwaibia watanzania kwa kasi kubwa sana...Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli kabisa"
Dar imebadilika sanaKwa umri alionao, Hela alizonazo zinamtosha kabisa, 🙂🙂.
Hapo alikuwa petrol ⛽ station anagawa mafuta kwa boda - boda
View attachment 3137472
Hivi mwanaume unayejiita tajiri unapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako🤔🙇🏿♂😀... Ah basi sawa.. Na pesa ya bata..🥺 Huku si kuhongwa kabisa kama demu!🙌🏿🙌🏿🙌🏿🏃🏿Sikujua baba mchungaji kama una mipasho namna hii. Yule kijana hana hela ya kueleweka. Ila anataka attention. Kuna namna haiko sawa juu ya yule kijana. Muda utaongea.
Inawezekana ni kweli unachosema. Kijana ana collection ya mitumba fulani inayoleta uchafuzi wa mazingira kwa ujumla wake. 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
KazinguaBwashee na wewe unaandika udaku.
Zaman nilikuwa siamini kama watu huwa wanakufa, ila baada ya mda nilikubali kuwa kifo kipo baada ya kuondekewa mtu wangu wa karibu sana.So anakumotivate?