Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliishi kitajiri lakini alikufa maskini mbona hiyo imekaa vizuri mkuuKuna mtu Arusha alikuwa anaitwa askofu.. Anasimama kwenye kiambaza cha ghorofa lake kisha anamwaga pesa chini watu wanagombea.. Alikufa maskini
Anawaibia vipi wakati ni mzabuni uyo watenda mbalimbali za serikali na malipo anapokea Kwa utaratibu WA government payments hapo wezi ni viongozi wenu na sio Jamaa na ndo maana hawezi kamatwa ata siku Moja😀😀 viongozi akishirikiana nao kuiba 70B yake 60B ya viongozi 10B wizi WA government expenditures mzuri sanaKuna mtu kaandika yafuatayo mahali, sijui yana ukweli ganii!!;
"Huyo Lugumi Magufuli alimkomesha alishirikiana na utawala wa Kikwete kuiba rasilimali za nchi hii... Magu amekufa majambazi wakubwa kama hao wanaendelea kuwaibia watanzania kwa kasi kubwa sana...Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli kabisa"
Fedha ni muhimu .......lakini kwa KIASISometimes aseee better be a poor soul with money maana mtaa hauna huruma na watu maskini wenye roho nzuri
Ni bora kuliko kuwa na maji matupuPesa ni kama barafu juani...
Kumbe balcony kwa kiswahili ni kiambaza?Kuna mtu Arusha alikuwa anaitwa askofu.. Anasimama kwenye kiambaza cha ghorofa lake kisha anamwaga pesa chini watu wanagombea.. Alikufa maskini
Na nasikia yule chief gudy love kadandiwa na wazee na watu wa tra ,awaeleze mipesa yake anatoa wapi na biashara zake 😄Said Mjanja Mjanja
Akafunge Zile CCTV Kila Kituo Cha Police
Kuna kajinga Fulani kanasema alikuwa na roho mbaya na katili sana yaani uombe kazi upewe,mshara uchukue halafu kazi hufanyi au unazembea ukitiwa fimbo ndo awe katili?Kuna mtu kaandika yafuatayo mahali, sijui yana ukweli ganii!!;
"Huyo Lugumi Magufuli alimkomesha alishirikiana na utawala wa Kikwete kuiba rasilimali za nchi hii... Magu amekufa majambazi wakubwa kama hao wanaendelea kuwaibia watanzania kwa kasi kubwa sana...Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli kabisa"