Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka nisikujibu lakini nikaona utajiskia vibaya. Lakini jaribu kulinganisha maudhui ya mada yangu na yakoNilitaka nisikujibu lakini nikaona utajisikia vibaya.. Lakini jaribu kulinganisha maundui ya mada yangu na yako
By the way mimi nikikuhonga manukato wewe kama mwanaume utajisikiaje?
Je unajua ya kwamba pesa haitaki kelele?
Leo ndio nimekutana na hii ile juzi baada ya kupostiwa ile video na ku view watu wengi niliwaambia hapa baadhi ya watu maneno kama haya uliyoandika mkuu jinsi tu Lugumi alivyokuwa anamuita jina na kucheka pia kumwambia twende huku ukaone magari kwa mtu mwenye akili timamu na kama unajua uswahili lazima ujue kuwa leo hapa nadhihakiwa yote kwa yote pongezi kwa Lugumi kumuonyesha kuwa kuna watu tupo kitambo na tupo kimyaMaslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..
Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake
Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya kijiji/kata
Utajiri ngazi ya Wilaya
Utajiri ngazi ya mkoa/kanda
Utajiri ngazi ya Taifa
Utajiri ngazi ya bara
Utajiri ngazi ya dunia
Kilichotokea kwa Lugumi na kijana anayetamba ana utajiri mkubwa bwana chief Godlove.. Ni fedheha na aibu kwa kijana huyo.
Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana
Ana show off nyingi za magari yake kama matank hivi mitumba ambayo kwa pamoja thamani yake haifiki ama haizidi milion mia tatu.. Mabunda ya pesa anayoonyesha ni hizi pesa zetu tunazoziita za Madafu zisizozidi million 50.. Hana uwezo wa kuonesha walau dola laki moja tuu..!
Kwenye video inayotrend mitandaoni inamuonesha wakati akiagana na mwenyeji wake kisha matusi yakaanza
1. Moja akapelekwa kwenye show room ambayo imepaki ndinga mpya na za hadhi ya juu tupu.. Mojawapo ya ndinga mwenyeji wake aliyoiita uchafu haipungui milion 150.. Na inathamani ya magari zaidi ya matatu ya CGL. Show room hiyo ni safi na ya gharama na kimefungwa viyoyozi na vioo na aluminium..!
2. Kitendo cha kupewa marashi lilikuwa ni tusi baya. Mwanaume utapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako!? Ni aidha ana lake jambo ama ulipofika kwake alikuona unanuka kikwapa.. Ama vinginevyo visivyosemwa..
Kwa ulimbukeni CGL aliifungua palepale na kujipuliza huku akiisifia sana!😂
3. Kitendo cha kupewa bunda la pesa kama 5M hivi .. Nacho kilikuwa dhihaka na tusi kubwa.. Wanaume huwa tunasaidiana lakini sio kwa mazingira yale yaliyokaa kama kuhongwa..!
Kwa utajiri anaojinasibu nao CGL mitandaoni alipaswa pale aoneshe mkataba ama mikataba ya dili ya pesa ndefu na connection za pesa na sio vipesa na manukato..
Pengine Lugumi hakutaka chochote kijulikane lakini mwana alipoenda na Cameraman.. Bila kujua ametufunulia mengi kuhusu anachoita utajiri wake
Kurecord tu hizo video tayari ni showoff, wote ni walewale tu.Leo ndio nimekutana na hii ile juzi baada ya kupostiwa ile video na ku view watu wengi niliwaambia hapa baadhi ya watu maneno kama haya uliyoandika mkuu jinsi tu Lugumi alivyokuwa anamuita jina na kucheka pia kumwambia twende huku ukaone magari kwa mtu mwenye akili timamu na kama unajua uswahili lazima ujue kuwa leo hapa nadhihakiwa yote kwa yote pongezi kwa Lugumi kumuonyesha kuwa kuna watu tupo kitambo na tupo kimya
Nani asiye mjua Lugumi labda wewe na vijana wadogo waliona video yake jana yule jamaa zile gari mara yake ya kwanza kuzi post juzi na sio kama hana social media akaunt wala hana ma star ambao ana socialize nao je Kati ya Lugumi na Sir wicknell nani ana showoff yule yote kwa yote sio vyema kuongelea watu wala hakuna haja yakubishana nimejibu tu tena ni kwa bahati mbayaKurecord tu hizo video tayari ni showoff, wote ni walewale tu.
Je ahAre you normal??
Sijafunguwa hiyo video clip wala sina bundle la mchezo, ninavyomjuwa mimi Lugumi ni mwizi tu kama wezi wengine ambaye yupo kwenye mfumo.Nani asiye mjua Lugumi labda wewe na vijana wadogo waliona video yake jana yule jamaa zile gari mara yake ya kwanza kuzi post juzi na sio kama hana social media akaunt wala hana ma star ambao ana socialize nao je Kati ya Lugumi na Sir wicknell nani ana showoff yule yote kwa yote sio vyema kuongelea watu wala hakuna haja yakubishana nimejibu tu tena ni kwa bahati mbaya
.. Yani non - living things wanakula kiyoyozi alafu human being anagongwa na jua la utosini vya kutosha daily 😁😁😁😁Joto ni kali sana kama vile jua limeshuka 10km. Ila kwa upande mwingine kuna watu wao na magari yao joto wanalisikia tu maanake hata magari yanalala vyumba vyenye AC na glass windows/doors!
😁😁😁😁. Ngoja niendelee kuzisika mpaka 2035, na mimi lazima nikaivuruge DSM.Mambo mengine magumu sana mkuu
Some 30+ years back.Kuna mtu Arusha alikuwa anaitwa askofu.. Anasimama kwenye kiambaza cha ghorofa lake kisha anamwaga pesa chini watu wanagombea.. Alikufa maskini
Swali langu ni; huyo dogo alifikaje kwa Luhumi? Kaalikwa, kajialika au nini?Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..
Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake
Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya kijiji/kata
Utajiri ngazi ya Wilaya
Utajiri ngazi ya mkoa/kanda
Utajiri ngazi ya Taifa
Utajiri ngazi ya bara
Utajiri ngazi ya dunia
Kilichotokea kwa Lugumi na kijana anayetamba ana utajiri mkubwa bwana chief Godlove.. Ni fedheha na aibu kwa kijana huyo.
Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana
Ana show off nyingi za magari yake kama matank hivi mitumba ambayo kwa pamoja thamani yake haifiki ama haizidi milion mia tatu.. Mabunda ya pesa anayoonyesha ni hizi pesa zetu tunazoziita za Madafu zisizozidi million 50.. Hana uwezo wa kuonesha walau dola laki moja tuu..!
Kwenye video inayotrend mitandaoni inamuonesha wakati akiagana na mwenyeji wake kisha matusi yakaanza
1. Moja akapelekwa kwenye show room ambayo imepaki ndinga mpya na za hadhi ya juu tupu.. Mojawapo ya ndinga mwenyeji wake aliyoiita uchafu haipungui milion 150.. Na inathamani ya magari zaidi ya matatu ya CGL. Show room hiyo ni safi na ya gharama na kimefungwa viyoyozi na vioo na aluminium..!
2. Kitendo cha kupewa marashi lilikuwa ni tusi baya. Mwanaume utapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako!? Ni aidha ana lake jambo ama ulipofika kwake alikuona unanuka kikwapa.. Ama vinginevyo visivyosemwa..
Kwa ulimbukeni CGL aliifungua palepale na kujipuliza huku akiisifia sana!😂
3. Kitendo cha kupewa bunda la pesa kama 5M hivi .. Nacho kilikuwa dhihaka na tusi kubwa.. Wanaume huwa tunasaidiana lakini sio kwa mazingira yale yaliyokaa kama kuhongwa..!
Kwa utajiri anaojinasibu nao CGL mitandaoni alipaswa pale aoneshe mkataba ama mikataba ya dili ya pesa ndefu na connection za pesa na sio vipesa na manukato..
Pengine Lugumi hakutaka chochote kijulikane lakini mwana alipoenda na Cameraman.. Bila kujua ametufunulia mengi kuhusu anachoita utajiri wake
Mnyakyusa huyo babu.Labda Chief nani huyo,atapunguza LOPOLOPO mitandaoni...mtoto wa kiume utakuwqje na maneno vile..sidhani hata kama amepita JANDONI
Trump na Elon Musk ni wawakilishi wao MarekaniLugumi na Chief Godlove na wengine wote wenye show off ni washamba tu
Hakuna bilionea mwenye mambo za kisenge kama hizo
Huwezi kukuta mtu kama Dangote au Mo akawa na upumbavu kama wa akina Lugumi na Godlove
sikujua kua unawivu kiasi hikiJe Lugumi ndio Pdidy wa bongo?😂😂
Huyo Cheaf Godlove sipendi kashfa zake anavyowakashifu wasio na hela. Utafikiri anamiliki dunia. Na akina Elon Musk wasemeje ?Upo sahih japo utofauti wa hulka zetu unapingana na usemacho.
Kuna watu akiwa na laki tu mfukoni ni mwendo wa show off mpaka basi, bt wengine hata awe na mzigo wa kutosha wala hana hata habari.
Za ndaaani kabisa ni kwamba mishe za Lugumi zina waendeshaji, yeye mshika remote control tu.Mostly kajialika ndio maana akaenda na cameras