Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

Yeah ,CGL nadhani ataacha kupiga mikelele sasa ,kwamba watu wana mindinga ya maana tena latest....Hiyo Benz Wagon ya 2024 ni mali zote za CGL ,ukijumlisha thamnani ya nyumba yake na gari zake zote 6 na chenji inabaki.

Hata ile anayosema uchafu nadhani amewapiga madongo viongozi wa serikalini wanavyovimba na LC 300 ,bei za serikalini kwa hizo ndinga zinaanzia milioni 400.
Ila mtu binafsi unapigwa kama o utaagiza pamoja na kodi🤣.
Screenshot_20241029-163947.png

Kwa valuation ya $75000 ukiileta kwa madafu ni sawa na 217 million za kibongo. Add with tax ni 217+132 =349 in milions za madafu.
 
Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..

Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake

Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya kijiji/kata
Utajiri ngazi ya Wilaya
Utajiri ngazi ya mkoa/kanda
Utajiri ngazi ya Taifa
Utajiri ngazi ya bara
Utajiri ngazi ya dunia

Kilichotokea kwa Lugumi na kijana anayetamba ana utajiri mkubwa bwana chief Godlove.. Ni fedheha na aibu kwa kijana huyo.

Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana

Ana show off nyingi za magari yake kama matank hivi mitumba ambayo kwa pamoja thamani yake haifiki ama haizidi milion mia tatu.. Mabunda ya pesa anayoonyesha ni hizi pesa zetu tunazoziita za Madafu zisizozidi million 50.. Hana uwezo wa kuonesha walau dola laki moja tuu..!

Kwenye video inayotrend mitandaoni inamuonesha wakati akiagana na mwenyeji wake kisha matusi yakaanza

1. Moja akapelekwa kwenye show room ambayo imepaki ndinga mpya na za hadhi ya juu tupu.. Mojawapo ya ndinga mwenyeji wake aliyoiita uchafu haipungui milion 150.. Na inathamani ya magari zaidi ya matatu ya CGL. Show room hiyo ni safi na ya gharama na kimefungwa viyoyozi na vioo na aluminium..!

2. Kitendo cha kupewa marashi lilikuwa ni tusi baya. Mwanaume utapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako!? Ni aidha ana lake jambo ama ulipofika kwake alikuona unanuka kikwapa.. Ama vinginevyo visivyosemwa..

Kwa ulimbukeni CGL aliifungua palepale na kujipuliza huku akiisifia sana!😂

3. Kitendo cha kupewa bunda la pesa kama 5M hivi .. Nacho kilikuwa dhihaka na tusi kubwa.. Wanaume huwa tunasaidiana lakini sio kwa mazingira yale yaliyokaa kama kuhongwa..!

Kwa utajiri anaojinasibu nao CGL mitandaoni alipaswa pale aoneshe mkataba ama mikataba ya dili ya pesa ndefu na connection za pesa na sio vipesa na manukato..

Pengine Lugumi hakutaka chochote kijulikane lakini mwana alipoenda na Cameraman.. Bila kujua ametufunulia mengi kuhusu anachoita utajiri wake
Sasa mwananzengo, hii kitu mbona hakijakaa vizuri.

Hao jamaa wanakula milo mingapi kwa siku!
Wamewasaidia masikini wangapi kwa biashara zao!
Wamewaondoa vijana wangapi katika umasikini!
Na pengine la muhimu zaidi ni kujiuliza huo utajiri wake Lugumi au Godlove unanisaidia nini haswa mimi kama mtafutaji!

Ukisha jijibu hayo maswali utaona kuwa huo utajiri ni only relative na hauna maana kwao wala kwa watanzania , kama hauwasaidiii!
 
Sasa mwananzengo, hii kitu mbona hakijakaa vizuri.

Hao jamaa wanakula milo mingapi kwa siku!
Wamewasaidia masikini wangapi kwa biashara zao!
Wamewaondoa vijana wangapi katika umasikini!
Na pengine la muhimu zaidi ni kujiuliza huo utajiri wake Lugumi au Godlove unanisaidia nini haswa mimi kama mtafutaji!

Ukisha jijibu hayo maswali utaona kuwa huo utajiri ni only relative na hauna maana kwao wala kwa watanzania , kama hauwasaidiii!
FB_IMG_1730159448534.jpg
 
Ila mtu binafsi unapigwa kama o utaagiza pamoja na kodi🤣.
View attachment 3138308
Kwa valuation ya $75000 ukiileta kwa madafu ni sawa na 217 million za kibongo. Add with tax ni 217+132 =349 in milions za madafu.
Hahahaaa midude hiyo aliyoita Uchafu ni dongo wa mawaziri na top officials wanaoringa na hiyo MIPUTO ,yeah price yake LC 300 imesimama sana 350m+ ,kwa Chief Godlove mpaka anazeeka hawezi kununua.
 
Hahahaaa midude hiyo aliyoita Uchafu ni dongo wa mawaziri na top officials wanaoringa na hiyo MIPUTO ,yeah price yake LC 300 imesimama sana 350m+ ,kwa Chief Godlove mpaka anazeeka hawezi kununua.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Chief uwezo wake ni 30-50M used cars. Gari ambayo katoa hela ndefu labda ni ile Range Rover
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Chief uwezo wake ni 30-50M used cars. Gari ambayo katoa hela ndefu labda ni ile Range Rover

😀 😀 😀 Kabisa ,30-50 ndiyo level zake ,level za Lugumi hawezi kuzifikia hata akipewa miaka 100 ya kuhustle.
 
😀 😀 😀 Kabisa ,30-50 ndiyo level zake ,level za Lugumi hawezi kuzifikia hata akipewa miaka 100 ya kuhustle.
Ogopa mtu analipia 800 millions for a single whip 😂! It takes guts halafu zote ni 2024. Na namba za usajili zinafatana ni series "EH" ikiashiria alizinunua zote wakati mmoja😆
 
Ogopa mtu analipia 800 millions for a single whip 😂! It takes guts halafu zote ni 2024. Na namba za usajili zinafatana ni series "EH" ikiashiria alizinunua zote wakati mmoja😆
Hatari Lugumi nakumbuka alikuwa na ndinga nyingi sana enzi za Jakaya ,msafara wake ulikuwa unatembea na Land cruiser V8 Nyeusi mbili ,na Benz Convertible Nyeupe ina maana amezidump zote zile akavuta nyingine kwa pamoja.
 
Ni Lugumi huyuhuyu wa Dr Shika au kuna mwingine? Akaye akijuwa jinai huwa haifi tena especial jinai yenyewe kawapiga Polisi pesa yao na kumgharimu Charles Kitwanga Uwaziri wake.

Hivi Wabongo kumantain low profile ni kipengere?
 
Back
Top Bottom