Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

Is a lot of Money makes you rich?

Is a lot of Money makes you rich?

Is a lot of Money makes you rich?
FB_IMG_1730159448534.jpg
 
Miaka ya zamani Dar, ilikuwa wale matajiri, I mean ndio matajiri mpaka leo kama Bakhresa, alikuwa kila Ijumaa anagawa hela pale Livingstone ilipokuwa ile Ice Cream parlour ya kwanza Dar nzima.
Lakini kwa kuwa wakazi wa Dar walivyokuwa na ustaarabu na kujivunia utu wao hata kama anauza madafu, walikuwa hawapangi mstari kusubiri hela ya bure.
Wote waliokuwa wanapanga mstari walikuwa wale ombaomba wa kweli. na ilikuwa aibu kwa mtu wa kawaida kujipanga kusubiri upewe hela.
Leo hii Dar ilivyofikia ni masikitiko.....
. Kumbe bakhresa naye alikuwa anagawa vibunda kwa walalahoi??

. Maisha yanabadiilika sana zamani watu walikuwa na staha, lakini kwa maaadili na utu umepungua na ndo Maana mtu kufanya kituko cha ajabu haoni shida kabisa. + uvivu wa kufanya kazi na kupenda kupanda ganda la ndizi
 
Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana

Yeah ,CGL nadhani ataacha kupiga mikelele sasa ,kwamba watu wana mindinga ya maana tena latest....Hiyo Benz Wagon ya 2024 ni mali zote za CGL ,ukijumlisha thamnani ya nyumba yake na gari zake zote 6 na chenji inabaki.

Hata ile anayosema uchafu nadhani amewapiga madongo viongozi wa serikalini wanavyovimba na LC 300 ,bei za serikalini kwa hizo ndinga zinaanzia milioni 400.
 
Mimi Nahisi CGL Ni kioo Tu ila Objects Nyuma ya Kioo Ni Lugumi..

Kuna kauli ile aliitoa Kuwa "mnaona mimi ni Tajiri na Mimi Nakujaga Kuokota huku"

So huenda CGL ni Taswira ya Lugumi...

Sililiza Maongozi angalia Muonekano wao angalia kila Walivyokuwa wanatembea angalia maongezo ya Lugumi linganisha na CGL
 
Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..

Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake

Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya kijiji/kata
Utajiri ngazi ya Wilaya
Utajiri ngazi ya mkoa/kanda
Utajiri ngazi ya Taifa
Utajiri ngazi ya bara
Utajiri ngazi ya dunia

Kilichotokea kwa Lugumi na kijana anayetamba ana utajiri mkubwa bwana chief Godlove.. Ni fedheha na aibu kwa kijana huyo.

Lugumi alichofanya ni kumtusi kwa vitendo na kumdhalilisha hadharani. Kijana chief Godlove anachonga sana mitaani na mitandaoni akijinasibu kwamba yeye ni tajiri sana

Ana show off nyingi za magari yake kama matank hivi mitumba ambayo kwa pamoja thamani yake haifiki ama haizidi milion mia tatu.. Mabunda ya pesa anayoonyesha ni hizi pesa zetu tunazoziita za Madafu zisizozidi million 50.. Hana uwezo wa kuonesha walau dola laki moja tuu..!

Kwenye video inayotrend mitandaoni inamuonesha wakati akiagana na mwenyeji wake kisha matusi yakaanza

1. Moja akapelekwa kwenye show room ambayo imepaki ndinga mpya na za hadhi ya juu tupu.. Mojawapo ya ndinga mwenyeji wake aliyoiita uchafu haipungui milion 150.. Na inathamani ya magari zaidi ya matatu ya CGL. Show room hiyo ni safi na ya gharama na kimefungwa viyoyozi na vioo na aluminium..!

2. Kitendo cha kupewa marashi lilikuwa ni tusi baya. Mwanaume utapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzako!? Ni aidha ana lake jambo ama ulipofika kwake alikuona unanuka kikwapa.. Ama vinginevyo visivyosemwa..

Kwa ulimbukeni CGL aliifungua palepale na kujipuliza huku akiisifia sana!😂

3. Kitendo cha kupewa bunda la pesa kama 5M hivi .. Nacho kilikuwa dhihaka na tusi kubwa.. Wanaume huwa tunasaidiana lakini sio kwa mazingira yale yaliyokaa kama kuhongwa..!

Kwa utajiri anaojinasibu nao CGL mitandaoni alipaswa pale aoneshe mkataba ama mikataba ya dili ya pesa ndefu na connection za pesa na sio vipesa na manukato..

Pengine Lugumi hakutaka chochote kijulikane lakini mwana alipoenda na Cameraman.. Bila kujua ametufunulia mengi kuhusu anachoita utajiri wake
Mkuu heshima yako naona leo umeandika udaku. Mimi nikiandika hua una comment
Screenshot_20241029-102010_Opera Mini.jpg

Nawasilisha....
 
Hiyo nyumba ya Lugumi IPO Magu huko, alishawahi kutualika futari, he is living huge, sio kwa viwango vya kijijini/ mkoa, hata Oysterbay, Masaki na Upanga Ana nyumba kibao za biashara
Nyumba iko Masaki. Kwa kuheshimu faragha yake siwezi kuitaja. Kwa maoni binafsi ni nyumba kali sana hapo mtaani
 
hao lugumi hawanaga maisha ya mbwembwe kabisa alaf wanapiga ibada ana mdogo wake mmoja anaish ilala mta wa kilwa kipande gar za kimarekqn kali tumezionea na kuzshikia kwa karib kupitia kwake ma humer sjui tundra chevy ila mdogo wake anaeendesha alikua anakuja sana jiran na duka letu la spea ana mshkaj wake alikua anaitwa juma jamaa aling mchesh mpole mdogo wake na uyo lugumi na mda wa swala mskitin hana mbwembwe ila ayo ma ndinga anayosukuma leo range kesho ana porsche walipigag hela inasmekan ya tenda yakufunga finga print vtuo vyte vya polis pia kaka ake uyo lugum mwnyew tenda nying za govt alkua km dalal wa serkal enz za jk ila za chin ya kapet pia wauza ngada bt very humble family nakubalian na ww uliposema sio wazee wa mitandao na sifa
 
Back
Top Bottom