Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

Kwa umri alionao, Hela alizonazo zinamtosha kabisa, πŸ™‚πŸ™‚.

Hapo alikuwa petrol β›½ station anagawa mafuta kwa boda - boda
View attachment 3137472
Kuna mtu Arusha alikuwa anaitwa askofu.. Anasimama kwenye kiambaza cha ghorofa lake kisha anamwaga pesa chini watu wanagombea.. Alikufa maskini
 
Kuna mtu kaandika yafuatayo mahali, sijui yana ukweli ganii!!;

"Huyo Lugumi Magufuli alimkomesha alishirikiana na utawala wa Kikwete kuiba rasilimali za nchi hii... Magu amekufa majambazi wakubwa kama hao wanaendelea kuwaibia watanzania kwa kasi kubwa sana...Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli kabisa"
 

Sikujua baba mchungaji kama una mipasho namna hii. Yule kijana hana hela ya kueleweka. Ila anataka attention. Kuna namna haiko sawa juu ya yule kijana. Muda utaongea.
Inawezekana ni kweli unachosema. Kijana ana collection ya mitumba fulani inayoleta uchafuzi wa mazingira kwa ujumla wake. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Je Lugumi ndio Pdidy wa bon
Mkuu
Mkuu nashida na ww ila sijui namna ya kukutumia ujumbe binafsi mm ni member mpya humu.
 
Ni kweli kabisa Lugumi kipindi cha Jk hakulaza damu alitembea na fursa.. Halafu Magu akaja akamtikisa
 
Hivi mwanaume unayejiita tajiri unapewaje zawadi ya manukato na Mwanaume mwenzakoπŸ€”πŸ™‡πŸΏβ€β™‚πŸ˜€... Ah basi sawa.. Na pesa ya bata..πŸ₯Ί Huku si kuhongwa kabisa kama demu!πŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸƒπŸΏ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…