Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,043
- 3,305
sawa,but me nakodisha vitendea kazi...πMkuu uchawi sio mpaka ivyo vifaa. Roho ya mtoa mada ni uchawi tosha.
Sent using motorola
Mkuu ukijua ukweli utakuja hapa kunipongeza..Dish limeyumba,mbaya zaidi nati zimedondoka,kwa hiyo mpaka kuli-fix inahitajika kazi na nguvu ya ziada.
Daah pole muda unaopoteza atleast ungetafuta kitabu chenye story za Mr&Mrs Daudi ukisome atleast ujue Kingereza hata cha kuombea maji.
Kanunue nawe tukujueJamaa kaona isiwe kesi,Kiki Hakuna Kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu
View attachment 1459491
Nimekuelewa apo mkuu. inabidi afuate ushauri wako kazi yake iwe na ufanisisawa,but me nakodisha vitendea kazi...[emoji849]
"Software bila hardware hamna kitu hapo..."
ππππfor realNimekuelewa apo mkuu. inabidi afuate ushauri wako kazi yake iwe na ufanisi
Sent using motorola
π ππNyie Guruguja sikilizeni Kwenye list iliyokua Imepitishwa Jina la Diamond na Nandy hayakuwemo, Wasanii waliokua Wamechaguliwa ni Alikiba na Harmonize
Baada ya Jamaa wa Wcb kusikia Huu Mchongo Jamaa wakazunguka Wakatoa Mpunga mrefu majina ya awali yakachomolewa na kupachika la Chibunye na Nandy..
Kaeni Kitaalamu Acheni kukaa kipimbi
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mkuu uchawi sio mpaka ivyo vifaa. Roho ya mtoa mada ni uchawi tosha.
Sent using motorola
Nyie Guruguja sikilizeni Kwenye list iliyokua Imepitishwa Jina la Diamond na Nandy hayakuwemo, Wasanii waliokua Wamechaguliwa ni Alikiba na Harmonize
Baada ya Jamaa wa Wcb kusikia Huu Mchongo Jamaa wakazunguka Wakatoa Mpunga mrefu majina ya awali yakachomolewa na kupachika la Chibunye na Nandy..
Kaeni Kitaalamu Acheni kukaa kipimbi