Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Dish limeyumba,mbaya zaidi nati zimedondoka,kwa hiyo mpaka kuli-fix inahitajika kazi na nguvu ya ziada.

Daah pole muda unaopoteza atleast ungetafuta kitabu chenye story za Mr&Mrs Daudi ukisome atleast ujue Kingereza hata cha kuombea maji.
Mkuu ukijua ukweli utakuja hapa kunipongeza..
 
Katika kupitia list ya Wasanii watakao Perform Naona Diamond na Nandy ndo kama Ma-Underground
 
Mond anachngisha pesa ya covid? Kwqni makonda hajawaambia kuwa ameimaliz korona?
 
Nyie Guruguja sikilizeni Kwenye list iliyokua Imepitishwa Jina la Diamond na Nandy hayakuwemo, Wasanii waliokua Wamechaguliwa ni Alikiba na Harmonize

Baada ya Jamaa wa Wcb kusikia Huu Mchongo Jamaa wakazunguka Wakatoa Mpunga mrefu majina ya awali yakachomolewa na kupachika la Chibunye na Nandy..

Kaeni Kitaalamu Acheni kukaa kipimbi
😅😂😂
 
Nyie Guruguja sikilizeni Kwenye list iliyokua Imepitishwa Jina la Diamond na Nandy hayakuwemo, Wasanii waliokua Wamechaguliwa ni Alikiba na Harmonize

Baada ya Jamaa wa Wcb kusikia Huu Mchongo Jamaa wakazunguka Wakatoa Mpunga mrefu majina ya awali yakachomolewa na kupachika la Chibunye na Nandy..

Kaeni Kitaalamu Acheni kukaa kipimbi

Leta ushahidi Aminakiba
 
Nimetoka kuangalia performance za wasanii wa Africa kwenye hii kampeni ya MTV base ya kuchangia waathirika wa Corona aisee Diamond Ni best performer aisee idea aliyokuja nayo nimependa kafanya tofauti na wasanii wengine very unique idea.

Hivyo ndio msanii unatakiwa uwe nimeona page ya Instagram ya MTV base Hadi sasa yeye ndio ana kura nyingi ya watu waliomkubali ukija Twitter jamaa ndio anaongelewa hapo ndio tayari kashajiweka sokoni.

Ukiachana na Diamond aliyenivutia Ni AKA naye kafanya poa ila niseme ukweli Burna Boy kwenye suala nzima la performance yupo hovyo sio tu kwenye hii show kafanya kawaida Sana hata alivyokuja hapa bongo alipuyanga
 
[emoji91][emoji91]
IMG-20200525-WA0089.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aseeeeeeeh chezea kuogopa kukosa bundles weyeeeeeee. Hovyooooooooh ile n perfomance au utopolo? Khaaaaaaaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom