Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

Robidinyo

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
4,043
Reaction score
8,686
Kuhusu kulipia show
===========

Jamaa kaona isiwe kesi, Kiki hakuna kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu

IMG-20200525-WA0034.jpg



====================

Kuhusu performance ya kuwa nzuri

=====================

Nimetoka kuangalia performance za wasanii wa Africa kwenye hii kampeni ya MTV base ya kuchangia waathirika wa Corona aisee Diamond Ni best performer aisee idea aliyokuja nayo nimependa kafanya tofauti na wasanii wengine very unique idea.

Hivyo ndio msanii unatakiwa uwe nimeona page ya Instagram ya MTV base Hadi sasa yeye ndio ana kura nyingi ya watu waliomkubali ukija Twitter jamaa ndio anaongelewa hapo ndio tayari kashajiweka sokoni.

Ukiachana na Diamond aliyenivutia Ni AKA naye kafanya poa ila niseme ukweli Burna Boy kwenye suala nzima la performance yupo hovyo sio tu kwenye hii show kafanya kawaida Sana hata alivyokuja hapa bongo alipuyanga

==================

Kuhusu performance ya kuwa sio nzuri

================

Inakuaje Unajiita Msanii Mkubwa na Umepata kabahati ka Kuperform kwenye Show kubwa kama ile..

Unaenda kuperform Copy ya Nyimbo ya Msanii Mwezako? Hakuna Asiyejua Kua Jeje ni Copy..

Nikiwa kama Mdau wa Mziki na burudani Nimesikitika Sana, kweli Kijana Kaisha Ni bora Angeimba nyimbo ya kitorondo Sisi ma-Master wa hili Game tungemuelewa
 
Jamaa kaona isiwe kesi,Kiki Hakuna Kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu

View attachment 1459491
Mhhhhhh Kingereza kwako kigumu.
🤣🤣🤣.

Hiyo show wamechaguliwa wasanii wakubwa wanao fanya vizuri ktk music industry ya Africa kwa ajili ya kuchangisha hela kwa waathirika wa Covid19 ina lenga watoto wa Africa.

Dah kweli leo ndio nimekuelewa vizuri,yaani unamchukia mtu mpaka sehemu zisizohusika,yaani wewe ukiambiwa umtengenezee sumu Diamond kwa jinsi ulivyo na roho mbaya utaionja kwanza alafu utampa.

Soma post hizo uzielewe na si kukurupuka.
 
Mhhhhhh Kingereza kwako kigumu.
🤣🤣🤣.

Hiyo show wamechaguliwa wasanii wakubwa wanao fanya vizuri ktk music industry ya Africa kwa ajili ya kuchangisha hela kwa waathirika wa Covid19 ina lenga watoto wa Africa.

Dah kweli leo ndio nimekuelewa vizuri,yaani unamchukia mtu mpaka sehemu zisizohusika,yaani wewe ukiambia umtengenezee sumu Diamond kwa jinsi ulivyo na roho mbaya utaionja kwanza alafu utampa.

Soma post hizo uzielewe na si kukurupuka.
Jamaa na wivu wa kike kike...isije kuwa ni ke...😁
 
Mhhhhhh Kingereza kwako kigumu.
🤣🤣🤣.

Hiyo show wamechaguliwa wasanii wakubwa wanao fanya vizuri ktk music industry ya Africa kwa ajili ya kuchangisha hela kwa waathirika wa Covid19 ina lenga watoto wa Africa.

Dah kweli leo ndio nimekuelewa vizuri,yaani unamchukia mtu mpaka sehemu zisizohusika,yaani wewe ukiambiwa umtengenezee sumu Diamond kwa jinsi ulivyo na roho mbaya utaionja kwanza alafu utampa.

Soma post hizo uzielewe na si kukurupuka.
Hizi simu zimefanya iwe rahisi kukutana na wapumbavu,msamehe tu!!
 
Nyie Guruguja sikilizeni Kwenye list iliyokua Imepitishwa Jina la Diamond na Nandy hayakuwemo, Wasanii waliokua Wamechaguliwa ni Alikiba na Harmonize

Baada ya Jamaa wa Wcb kusikia Huu Mchongo Jamaa wakazunguka Wakatoa Mpunga mrefu majina ya awali yakachomolewa na kupachika la Chibunye na Nandy..

Kaeni Kitaalamu Acheni kukaa kipimbi
 
Nyie Guruguja sikilizeni Kwenye list iliyokua Imepitishwa Jina la Diamond na Nandy hayakuwemo, Wasanii waliokua Wamechaguliwa ni Alikiba na Harmonize

Baada ya Jamaa wa Wcb kusikia Huu Mchongo Jamaa wakazunguka Wakatoa Mpunga mrefu majina ya awali yakachomolewa na kupachika la Chibunye na Nandy..

Kaeni Kitaalamu Acheni kukaa kipimbi
We jamaa unaongea kama hauna akili mzee
Sasaa diamond ndo wakuwalipa MTV????
Kwa kusema hivo unataka kutuaminisha na nandy nae alikubali kulipa au alilipiwa???
 
Nyie Guruguja sikilizeni Kwenye list iliyokua Imepitishwa Jina la Diamond na Nandy hayakuwemo, Wasanii waliokua Wamechaguliwa ni Alikiba na Harmonize

Baada ya Jamaa wa Wcb kusikia Huu Mchongo Jamaa wakazunguka Wakatoa Mpunga mrefu majina ya awali yakachomolewa na kupachika la Chibunye na Nandy..

Kaeni Kitaalamu Acheni kukaa kipimbi
Dish limeyumba,mbaya zaidi nati zimedondoka,kwa hiyo mpaka kuli-fix inahitajika kazi na nguvu ya ziada.

Daah pole muda unaopoteza atleast ungetafuta kitabu chenye story za Mr&Mrs Daudi ukisome atleast ujue Kingereza hata cha kuombea maji.
 
Back
Top Bottom